ministrant
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 754
- 1,478
Si vema kupost magari ya watu humu ila unakuta Brevis namba DL.. inasoma 7.5M na Brevis namba DF... inasoma 7M kitu ambacho ni ngumu kukuta IST ya namba hizo ikiuzwa kwa bei hiyoHuko kwenu wana uza Tsh ngapi...
Weka picha ya hizo brevis ulizo letewa na bei, una weza pata mteja wa haraka sana
Kama ipo ktk hali nzuri naweza shawishika kuichukua
Hizo ndio bei zakeSi vema kupost magari ya watu humu ila unakuta Brevis namba DL.. inasoma 7.5M na Brevis namba DF... inasoma 7M kitu ambacho ni ngumu kukuta IST ya namba hizo ikiuzwa kwa bei hiyo
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Si vema kupost magari ya watu humu ila unakuta Brevis namba DL.. inasoma 7.5M na Brevis namba DF... inasoma 7M kitu ambacho ni ngumu kukuta IST ya namba hizo ikiuzwa kwa bei hiyo
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Changamoto kubwa ya hizi gari ni ipi?Hizo ndio bei zake
Ina changamoto gani hii gari kwa uzoefu wako?Kuna jamaa yangu yuko kinondoni analiuza 3M cash namba DH , jana kapewa 2.9 kakataa kama unalitaka sema
Kwan gari hua tunanunua usajiri wa namba au uzima wa engine, naweza nunua gari namba A kabisa,cha msingi engine iwe nzima tuSi vema kupost magari ya watu humu ila unakuta Brevis namba DL.. inasoma 7.5M na Brevis namba DF... inasoma 7M kitu ambacho ni ngumu kukuta IST ya namba hizo ikiuzwa kwa bei hiyo
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Mbona bei kubwa hivyo? Nipe 4.5m nikupe Brevis namba DLE.Si vema kupost magari ya watu humu ila unakuta Brevis namba DL.. inasoma 7.5M na Brevis namba DF... inasoma 7M kitu ambacho ni ngumu kukuta IST ya namba hizo ikiuzwa kwa bei hiyo
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Engine kubwa. Wengi wanaogopa cc2500 au cc3000 especially watu wa misele.
Mbona bei kubwa hivyo? Nipe 4.5m nikupe Brevis namba DLE.
Ni hivi gari used hasa sedan za engine kubwa hazina demand kubwa hivyo kupelekea bei kuwa chini. Sio Brevis tu hata MarkX au Crown bei huwa chini
Kama sio mtu wa misele na unajitambua hizo ndio gari za kununua.Cha ajabu wakati wa mavuno mikoani haurudi nalo wanabeba mapema sana
Itakuwa uliona wenge ,DF usajili wa 2015 haiwezi uzwa 7.5mSi vema kupost magari ya watu humu ila unakuta Brevis namba DL.. inasoma 7.5M na Brevis namba DF... inasoma 7M kitu ambacho ni ngumu kukuta IST ya namba hizo ikiuzwa kwa bei hiyo
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
7M kwa Brevis ni nyingi sana wapunguze bei wauze 4MSi vema kupost magari ya watu humu ila unakuta Brevis namba DL.. inasoma 7.5M na Brevis namba DF... inasoma 7M kitu ambacho ni ngumu kukuta IST ya namba hizo ikiuzwa kwa bei hiyo
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app