NYAMASHEKI
Member
- Nov 17, 2017
- 20
- 11
Habari Wana jukwaa!
Mwenzenu nimepotelewa na CHETI CHA KIDATO CHA NNE (2012), nafanyaje Ili nipate kingine, au Kuna taratibu gani za kufuata.
Ushauri tafadhali
Mwenzenu nimepotelewa na CHETI CHA KIDATO CHA NNE (2012), nafanyaje Ili nipate kingine, au Kuna taratibu gani za kufuata.
Ushauri tafadhali