Kupotelewa kwa vyeti.

Kupotelewa kwa vyeti.

Rusumo one

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2018
Posts
3,458
Reaction score
4,283
Habarini za mchana wakuu.

Kuna mtoto wetu anaitwa Adela Antony Mnyenyelwa kapotelewa na begi kwenye daladala asubuhi ya Leo akitokea Buzuruga stendi to Nyegezi Stendi.

Kwa maelezo yake ni kuwa alisimama ktk daladala kwa kukosa kiti na alikuwa na mabegi 2 aliposhuka alianza kuchukua begi kubwa then akajisahau kuchukua kibegi kidogo jamii za haya mabegi ya kichina ya watoto wa shule ambalo kilikuwa Na nyaraka zake za Chuo Cha Mipango ikiwemo vyeti vya mbalimbali.

Na aliposhtuka anarudi haraka ile gari hakuikuta. Naomba msaada kwa yeyote atakayepata taarifa ya kuokota vyeti hivyo awasiliane kupitia namba 0789-714595,0712-249054 na 0788-279892, Natanguliza shukrani
 
1. Kaongee na makonda wa daladala na madereva wana umoja wao. Kubali kutoa ata hela kidogo.

2. Nenda kituo cha polisi cha jirani, kutoa taarifa kwaajili ya usalama wako na pia itasaidia vikipatikana.

3. Bandika matangazo, eneo ilo makubwa, kama kuna mtu kachukua lazima atakua anakuja uko.

4. Nenda kwenye radio local Tangaza. Lipia mzigo.

5. Ukikosa, nenda utapata copy yake.
 
1. Kaongee na makonda wa daladala na madereva wana umoja wao. Kubali kutoa ata hela kidogo.

2. Nenda kituo cha polisi cha jirani, kutoa taarifa kwaajili ya usalama wako na pia itasaidia vikipatikana.

3. Bandika matangazo, eneo ilo makubwa, kama kuna mtu kachukua lazima atakua anakuja uko.

4. Nenda kwenye radio local Tangaza. Lipia mzigo.

5. Ukikosa, nenda utapata copy yake.
Sawa mkuu nimeongea na Mwenyekiti wa umoja wa Madereva na Makondakta jiji la Mwanza (MWAREDA) kasema anafuatilia kwa ujirani, binti kaenda Polisi central kutoa taarifa wamemwambia afike kesho, tofauti na hapo tunaendelea kupambana kwa Hali na Mali Mimi nimetoa taarifa humu kwakuwa ni family friend na siishi Mwanza na hii taarifa nimepata mchana huu nikasema ni share na Great thinkers maana huwa hatufeli kizembe.
 
Tafuta mganga wa kienyeji chap apige lamli utajua pegi lipo wapi

Tumieni ushirikina kwa manufaaa
 
Back
Top Bottom