Kupoteza funguo ya Gari. Nini kifanyike

Kupoteza funguo ya Gari. Nini kifanyike

GuDume

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2015
Posts
6,651
Reaction score
14,337
wadau kuna jamaa yangu amepoteza funguo ya gari .alishapoteza ile ya kwanza na sasa amepoteza ile ya akiba. anahangaika afanye nini . kama kuna mtu ana uzoefu katika hili please tufahamishane ili nami nimsaidie kwa maoni na ushauri. gari jana aliliacha ofisini sababu hakuwa na funguo na leo ndo anahangaika kutafuta alternative.

pili mimi nina kibaiskeli changu kina mbwembwe nyingi sana funguo ya kufungia kufuli lake ipo kama ya gari kabisa.kabisa kila kitu. nami je naweza kuchonga wapi na ni tsh ngapi kuchonga funguo ili nisije nikaenda wakataka kunigonga. napenda kufanya research kabla ya kununua kitu.
 
Mmmmh leo gudume amefufuka sema kwani kati ya wale 1400 uliotembea nao hakuna hata mmoja mwenye mchuma ama izo funguo umesahau uliye mpa kati ya wale mdemu 1400[emoji3][emoji16][emoji23][emoji3][emoji16][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom