Bwana Yesu asifiwe sana wapendwa.
Naomba kufahamishwa ukweli wa hili. Hivi ni kweli mama mjamzito hupoteza hamu ya kushiriki tendo la ndoa? Kama ni kweli sababu zake ni zipi?
Je kuna madhara yoyote kiafya kwa huyo mjamzito kutoshiriki tendo hilo la ndoa kisa hana hamu?
Mbarikiwe kwa ushiriki wako/wenu