Chikwangara
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 685
- 939
Walianza kwa mbwembwe sana lakini, wameshachuja na nyimbo zao hazisikilizwi tena.
Rayvanny
Lava lava
Baraka the Prince
Harmorapa
.......na wengine wengi tu, mfano hata pale WCB wamebaki majina tu, hamna wanachoimba zaidi ya kurudia mistari na kukatika.
Ali Kiba ndio kabisa kaamua akajifiche kwenye soka, je tatizo ni nini?
Rayvanny
Lava lava
Baraka the Prince
Harmorapa
.......na wengine wengi tu, mfano hata pale WCB wamebaki majina tu, hamna wanachoimba zaidi ya kurudia mistari na kukatika.
Ali Kiba ndio kabisa kaamua akajifiche kwenye soka, je tatizo ni nini?