Kupoteza mvuto kimziki kwa hawa wasanii, tatizo nini!

Chikwangara

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2012
Posts
685
Reaction score
939
Walianza kwa mbwembwe sana lakini, wameshachuja na nyimbo zao hazisikilizwi tena.
Rayvanny
Lava lava
Baraka the Prince
Harmorapa
.......na wengine wengi tu, mfano hata pale WCB wamebaki majina tu, hamna wanachoimba zaidi ya kurudia mistari na kukatika.
Ali Kiba ndio kabisa kaamua akajifiche kwenye soka, je tatizo ni nini?
 
Huyo Baraka nafikiri akikumbuka ujinga alioufanya anajutia



Bongo Team Mondi na Kiba ndo wanadetermine career yako kuwa up au kugo down... sasa unyumbu wake umemponza kweli kweli
Huyu dogo ni fala sana. Alimbania Sadim akampandisha jukwaani demu wake eti nawatambulisha shemeji yenu. Fala yeye.
 
Huyu dogo ni fala sana. Alimbania Sadim akampandisha jukwaani demu wake eti nawatambulisha shemeji yenu. Fala yeye.
Yako wapi hayo majivuno saizi[emoji23][emoji23] mziki umemshinda na kaachwa na demu!!



Elimu na kujiheshimu na kuheshimu wanachofanya ni kitu muhimu na adimu sana ambacho wasanii wa sasa hivi hawana..


Wakati Diamond anafanya upuuzi mitandaoni Kanye West anazuia porn ya mke wake isije kuwa story watoto wake wakikua... Mziki umekuwa kiki bila kiki au team hutoboi
 
TATIZO NI PROMO.
 
Bila shaka una kichaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…