Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
Kuna mtu kakujambia machoni?🤔Wakuu Kama swali linavyouliza hapo juu!
Kwa upande wangu mim naona hii haijakaa sawa, awe ni mpenzi wangu au ni mke wangu, Kama amekaa kwenye mazingira yenye utimamu Basi ni lazima azingatie faragha, huwezi kupumua mbele ya mtu wako wa karibu au hata mume/mke wako.
Binafsi mim ukifanya hvyo yaani utakuwa umepunguza %kadhaa za kukuheshimu. Yaani mtu anapumua then unamuona Yuko ok tu Wala hashtuki, ile siyo involuntary action useme it was above your willing, ile hewa inapokuwakuwa around rectal muscles information is direct transferred to the brain and now you feel kwirf, unatafuta faragha kuepusha air pollution and sound disturbance.
Wakuu mim ni naona si vyema. kwenu nyinyi hii imekaaje?
Jamaa kachukia kujambiwa.Analeta mizevezo sana.Labda mbele ya wageni ila kama mpo mtu Be sio shida.
Kakaa beach anapunga upepo baada ya kujambiwa machoni.Vumilia tu bro..... Uko wapi kwani.
Apokee simu nimpe neno la farajaKakaa beach anapunga upepo baada ya kujambiwa machoni.
😂😂😂Acha kufananisha kujamba na vitu vya kijinga bhana! Kujamba ni ibada..
Bado macho yapo dizzy & blurred!Anahitaji usaidizi asap!Apokee simu nimpe neno la faraja
Labda anakaa chumba kimoja chenye vikorokoro vingi na hewa ni yakuitafuta sasa ukiichafua na hiyo unaweza kuua mtu 😂😂Jamaa kachukia kujambiwa.Analeta mizevezo sana.
suala la kujamba kwenye mahusiani ni kubwa mno,na halina jibu la aina moja,kila mmoja aongee na mtu wake mkubaliane ama kujambiana au kila mtu akajambe faraghaWakuu Kama swali linavyouliza hapo juu!
Kwa upande wangu mim naona hii haijakaa sawa, awe ni mpenzi wangu au ni mke wangu, Kama amekaa kwenye mazingira yenye utimamu Basi ni lazima azingatie faragha, huwezi kupumua mbele ya mtu wako wa karibu au hata mume/mke wako.
Binafsi mim ukifanya hvyo yaani utakuwa umepunguza %kadhaa za kukuheshimu. Yaani mtu anapumua then unamuona Yuko ok tu Wala hashtuki, ile siyo involuntary action useme it was above your willing, ile hewa inapokuwakuwa around rectal muscles information is direct transferred to the brain and now you feel kwirf, unatafuta faragha kuepusha air pollution and sound disturbance.
Wakuu mim ni naona si vyema. kwenu nyinyi hii imekaaje?
Tumeanza hadi kupangiana tusijambe mbele ya nani? Nimeshtushwa sanaWakuu Kama swali linavyouliza hapo juu!
Kwa upande wangu mim naona hii haijakaa sawa, awe ni mpenzi wangu au ni mke wangu, Kama amekaa kwenye mazingira yenye utimamu Basi ni lazima azingatie faragha, huwezi kupumua mbele ya mtu wako wa karibu au hata mume/mke wako.
Binafsi mim ukifanya hvyo yaani utakuwa umepunguza %kadhaa za kukuheshimu. Yaani mtu anapumua then unamuona Yuko ok tu Wala hashtuki, ile siyo involuntary action useme it was above your willing, ile hewa inapokuwakuwa around rectal muscles information is direct transferred to the brain and now you feel kwirf, unatafuta faragha kuepusha air pollution and sound disturbance.
Wakuu mim ni naona si vyema. kwenu nyinyi hii imekaaje?
Kwenye hili hakuna cha kukua. Unaweza kusema sawa ni fresh tu kumua mbele ya mpenzi wako, lakin ukipita maeneo yenye harufu mbaya anaziba pia, maana yake hewa chafu iliyokataliwa tumboni Ina harufu nzuri?Ukikua utaacha utoto na utajamba tu.