Siyo maisha rahisi kwasababu hata wewe mwenyewe utajilazimisha kuiozoea harufu ya kinyesi inayotolewa Mara kwa Mara na mwenzi wako, siyo kuzoeana kwenye shida na Raha kwenye vitu Kama hivi, u a out of context mkuu.Mke/Mume tunatarajia utaishi naye maisha yote mpaka kifo kiwatenganishe, je utaweza kujibana maisha yako yote ili akuone mstaarabu? Maisha Halisi ni Maisha Rahisi.
Aisee🤔Hebu jaribu kula ndondo mixer mayai ya kuchemsha halafu uje useme tena kuwa kutoa ushuzi siyo involuntary action.
Sio kujamba tu, mimi nakata gogo mbele ya mke wangu. Na hiyo ni level moja ya kuashiria mahusiano yetu sio ya maigizo.
Kutoa ushuzi hakujawekwa kama option kuwa unaweza kuamua tu kuwa usijambe.
Tena demu anaejamba mbele yangu kuna kamvuto ananiongezea juu yako kwa kuamini kuwa she is not pretencious.
What Happens if You Hold in Farts?
Holding in gas can be uncomfortable, but is it dangerous for your health?www.hackensackmeridianhealth.org
Nadhani anaongelea ile ya kuajichia bila kujali, kama uko peke yakoKujamba ni kawaida na huwezi kuishi na mwenza wako bila kwa bahati mbaya kujamba. Tena kwenye usingizi ndiyo kabisa kuna wanaoachia kama mizinga kama vita ya Ukraine na Russia. Kna ile yuko na mweza wako unaachia kwa makusudi ''pwaaa''!Mke/Mume tunatarajia utaishi naye maisha yote mpaka kifo kiwatenganishe, je utaweza kujibana maisha yako yote ili akuone mstaarabu? Maisha Halisi ni Maisha Rahisi.
Hata kama hampendani..kujambiana kupo tuSiyo kuogopa dadaa. Issue siyo kupendana.
ww upo kama mm na demu wangu 🤣🤣Wengine tunafanya battle nani atatoa wenye athari kubwa
Inategemea mnaishije, ila hiyo ya kujiachia pia siyo mbaya kama unajiachia kibinadamu tu...mbaya ni ile ya masikhara unamfata mwenzako na kumjambia mdomoni! Ila kama mmekaa pamoja ushuzi ukaja ukauachia haina ubaya maana huwezi kujibana kila siku na wakati huyo ni mwenza wa maisha.Nadhani anaongelea ile ya kuajichia bila kujali, kama uko peke yakoKujamba ni kawaida na huwezi kuishi na mwenza wako bila kwa bahati mbaya kujamba. Tena kwenye usingizi ndiyo kabisa kuna wanaoachia kama mizinga kama vita ya Ukraine na Russia. Kna ile yuko na mweza wako unaachia kwa makusudi ''pwaaa''!
Mnafanya maisha yawe magumu mno, mambo mengine hayahitaji nguvu kueleweshana. Kujamba ni tendo la kibimadamu so huwezi kulificha kila siku ukaweza, muhimu ni kujiachia bila kuleta masikhara kama ya kumjambia mwenzako mdomoni au kumfata makusudi na kujamba mbele yake. Kama ushuzi umekuja mkiwa pamoja chumbani huwezi kutoka unakimbia kujamba nje! Achia ushuzi mambo mengine yaendelee..nyie endeleeni kujificha tuone kama mtaweza mpaka kufikia uzee.Siyo maisha rahisi kwasababu hata wewe mwenyewe utajilazimisha kuiozoea harufu ya kinyesi inayotolewa Mara kwa Mara na mwenzi wako, siyo kuzoeana kwenye shida na Raha kwenye vitu Kama hivi, u a out of context mkuu.
Mimi bwana huwa nafurahia sana mwanamke wangu akijamba mbele yangu. Ila niwe mimi na yeye tu, sio mbele za watu wengine.Wakuu Kama swali linavyouliza hapo juu!
Kwa upande wangu mim naona hii haijakaa sawa, awe ni mpenzi wangu au ni mke wangu, Kama amekaa kwenye mazingira yenye utimamu Basi ni lazima azingatie faragha, huwezi kupumua mbele ya mtu wako wa karibu au hata mume/mke wako.
Binafsi mim ukifanya hvyo yaani utakuwa umepunguza %kadhaa za kukuheshimu. Yaani mtu anapumua then unamuona Yuko ok tu Wala hashtuki, ile siyo involuntary action useme it was above your willing, ile hewa inapokuwakuwa around rectal muscles information is direct transferred to the brain and now you feel kwirf, unatafuta faragha kuepusha air pollution and sound disturbance.
Wakuu mim ni naona si vyema. kwenu nyinyi hii imekaaje?