Kupumulia mdomo!

Richbest

Senior Member
Joined
May 23, 2011
Posts
101
Reaction score
24
Heri ya mwaka mpya wadau wote! Nikiwa nakimbia huwa naishiwa pumz inanibidi nipumulie na mdomo je kuna ubaya hapo?
 
Ubaya ni vumbi kungia, pua imetengenezwa maalumu kuzuia vitakataka kuingia kwenye mapafu.

Punguza speed mpaka uzoee!!
 
kitabibu ni njia sahii kabisa kuepusha wingi wa watu.................
 
Ukikimbia unashauriwa kutopumua sana hasa kwa kutumia mdomo maana kwa kufanya ivo husababisha kuchoka mapema. Hakikisha unapumua kidogo kidogo yaani unavuta pumzi nyingi afu unaanza kuitoa kidogo kidogo husaidi usichoke try to apply it
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…