R Richbest Senior Member Joined May 23, 2011 Posts 101 Reaction score 24 Jan 1, 2012 #1 Heri ya mwaka mpya wadau wote! Nikiwa nakimbia huwa naishiwa pumz inanibidi nipumulie na mdomo je kuna ubaya hapo?
Heri ya mwaka mpya wadau wote! Nikiwa nakimbia huwa naishiwa pumz inanibidi nipumulie na mdomo je kuna ubaya hapo?
Gosbertgoodluck JF-Expert Member Joined Mar 3, 2008 Posts 2,855 Reaction score 402 Jan 1, 2012 #2 Sijui.
mikatabafeki JF-Expert Member Joined Dec 29, 2010 Posts 12,771 Reaction score 4,649 Jan 1, 2012 #3 ​ubaya upo INZI ataingia.
B Bajabiri JF-Expert Member Joined Jan 1, 2011 Posts 9,728 Reaction score 1,204 Jan 1, 2012 #4 Ubaya upo c kiungo muafaka kwa kupumulia
Dr Lizzy Platinum Member Joined May 25, 2009 Posts 31,009 Reaction score 60,629 Jan 1, 2012 #5 Ubaya ni vumbi kungia, pua imetengenezwa maalumu kuzuia vitakataka kuingia kwenye mapafu. Punguza speed mpaka uzoee!!
Ubaya ni vumbi kungia, pua imetengenezwa maalumu kuzuia vitakataka kuingia kwenye mapafu. Punguza speed mpaka uzoee!!
aikaruwa1983 JF-Expert Member Joined May 6, 2011 Posts 1,398 Reaction score 1,500 Jan 1, 2012 #6 kitabibu ni njia sahii kabisa kuepusha wingi wa watu.................
BADILI TABIA JF-Expert Member Joined Jun 13, 2011 Posts 32,767 Reaction score 23,198 Jan 1, 2012 #7 mikatabafeki said: ​ubaya upo INZI ataingia. Click to expand... nime'like' hii. . .
Daffi Jr JF-Expert Member Joined Jun 25, 2011 Posts 3,824 Reaction score 909 Jan 1, 2012 #8 mikatabafeki said: ubaya upo INZI ataingia. Click to expand... Hahahahaha!heri ya mwaka mpya!
nitonye JF-Expert Member Joined Dec 18, 2011 Posts 7,342 Reaction score 3,885 Jan 1, 2012 #9 pumulia kwenye tundu letu lile
Mhindih JF-Expert Member Joined Mar 14, 2011 Posts 331 Reaction score 68 Jan 1, 2012 #10 Ukikimbia unashauriwa kutopumua sana hasa kwa kutumia mdomo maana kwa kufanya ivo husababisha kuchoka mapema. Hakikisha unapumua kidogo kidogo yaani unavuta pumzi nyingi afu unaanza kuitoa kidogo kidogo husaidi usichoke try to apply it
Ukikimbia unashauriwa kutopumua sana hasa kwa kutumia mdomo maana kwa kufanya ivo husababisha kuchoka mapema. Hakikisha unapumua kidogo kidogo yaani unavuta pumzi nyingi afu unaanza kuitoa kidogo kidogo husaidi usichoke try to apply it
Kunta Kinte JF-Expert Member Joined May 18, 2009 Posts 3,690 Reaction score 1,288 Jan 1, 2012 #11 nitonye said: pumulia kwenye tundu letu lile Click to expand... Ase!!! watu wengine mmedata!!
M mashambani kwao JF-Expert Member Joined Dec 5, 2011 Posts 370 Reaction score 56 Jan 2, 2012 #12 Kunta Kinte said: Ase!!! watu wengine mmedata!! Click to expand... nimecheka sana.