Kupungua kwa bei ya Mafuta

Funge

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
581
Reaction score
167
Nimeangalia viwango vinavyoonesha kupungua kwa bei ya mafuta. Hata hivyo punguzo la halisi ni kama 1-2.5% hivi. Mfano Morogoro lita ya petrol kabla ni Tshs. 2080 lakini bei elekezi kufutuatia punguzo ni Tsh.2029.

Je kwa punguzo hilo kweli serikali inadhamiria kumpunguzia mtanzania ukali wa maisha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…