Kupungukiwa damu kuna sababu nyingi ambazo husababisha ni vyema ukazifahamu kwanza sababu zinazosababisha upungufu huo wa damu, mara nyingi upungufu wa damu mwilini husababishwa na kupungua madini chuma mwilini(iron) ambazo hizi hufanya kazi ya kubeba oxygen kutoka kwenye mapafu kuleta kwenye moyo na moyo kuisafirisha oxygen hiyo kwaajili ya shughuli za utengenezaji nguvu mwilini ATP molecules hivyo nilazima ujue chanzo chake kwanza ila baadhi ya vyakula vinavyoongeza damu kwa wingi na haraka zaidi niMTU kupungukiwa na damu mwilini unaweza ukatumia vyakula gani na ili kuweza kuirudisha kwenye kiwango chake ? Ama kunavidonge gani unaweza ukapewa na ikarudi sawa
Sawa asant sana nitayatafuta kesho matembeleKula matembele kwa wingi ,kuna juice anaitwa lucela sijui,inasiaidia sana na kuna dawa unakunywa vijiko viwili kwa siku nayo nzuri kina nimesahau
Asante sana kwa kunipa somoKupungukiwa damu kuna sababu nyingi ambazo husababisha ni vyema ukazifahamu kwanza sababu zinazosababisha upungufu huo wa damu, mara nyingi upungufu wa damu mwilini husababishwa na kupungua madini chuma mwilini(iron) ambazo hizi hufanya kazi ya kubeba oxygen kutoka kwenye mapafu kuleta kwenye moyo na moyo kuisafirisha oxygen hiyo kwaajili ya shughuli za utengenezaji nguvu mwilini ATP molecules hivyo nilazima ujue chanzo chake kwanza ila baadhi ya vyakula vinavyoongeza damu kwa wingi na haraka zaidi ni
Maharage haya yanamadini chuma mengi sana
Dagaa pia
Mboga jamii ya majani mfano mchicha matembele n.k
Pia karoti na matunda kama nyanya n.k
Tumia hemovit,sharubati ya rozela,sharubati ya mboga za majani,mboga za majani zenyewe au chemicola ila mboga hizo zichemshwe tu kiasi usiunge(weka chumvi tu)Kula matembele kwa wingi ,kuna juice anaitwa lucela sijui,inasiaidia sana na kuna dawa unakunywa vijiko viwili kwa siku nayo nzuri kina nimesahau
Vitamin B (B complex)MTU kupungukiwa na damu mwilini unaweza ukatumia vyakula gani na ili kuweza kuirudisha kwenye kiwango chake ? Ama kunavidonge gani unaweza ukapewa na ikarudi sawa