Mzalendo_Mkweli
JF-Expert Member
- Jan 30, 2012
- 2,025
- 1,270
Kitunguu saumu natafuna au kuwekwa katika chakula?kitunguu saum kiboko
Samahani, gali ulimaanisha Ugali au nini? AhsanteKila chakula unacho kula hakikisha kuna Garlic
Ikiwezekana andaa gali na asali kila siku kabla ya kulala
Parachichi si lina mafuta?parachichi
fat ya parachichi ni mafuta yanayeyuka na kuyeyeyusha mafuta yaliyoganda mwiliniParachichi si lina mafuta?
wafanya biashara haoKuna mtu amenishauri kutumia Food Supplement kama trevo, kwenu wenye uzoefu mnasemaje kuhusu njia hii?
chukua majani ya mlonge den yaanike kivulini yakishakauka yasage kisha tengeneza uji kikombe kimoja changanya na ule unga kiasi cha kijiko kidogo cha chai kwa mda wa wiki 2 utasahau kabusa hio BP
Mkuu mimi nilikua na 180/90 but ile hali ilinitesa sana badae niliidharau nikabadili life style vyakula kupunguza pombe nimeacha na siuwazii tena dawa natumia mara moja moja sana nisikiapo hali inabadilika ila usipende kupima pima maana unajiongezea bp pia ww ishi normally tuu mkuuHabari Doctor na JF wote.
Naomba kuuliza kama kuna aina ya vyakula ninavyoweza kula ili kupunguza Blood Pressure kwa haraka.
Nimetumia Dawa kwa kipindi cha miezi michache na BP imeshuka toka 176/116 hadi hivi karibuni 152/93 kiwango ambacho bado sijakipenda. Je mbali na mazoezi kuna aina ya vyakula naweza kula kupunguza Pressure kwa haraka zaidi?
Nawakilisha
Tafuna punje tatu za kitunguu swaumu kila uamkapo asubuhi kabla ya chai. Inasaidia sana.Kuna mtu amenishauri kutumia Food Supplement kama trevo, kwenu wenye uzoefu mnasemaje kuhusu njia hii?
miti ya mlonge imetapakaa sana bt kwa hapa dar ni rahisi sana kuipata kigamboni maana ilipandwa kwa wingi sana miaka ya nyuma kuna jamaa aliahidi kuja nunua mbegu zakeSamahani mkuu haya majani ya mlonge den naweza kuyapata kuyanunua wapi? Ahsante