peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Siku za karibuni, tutasikia Makamu wa Rais wa Malawi atazikwa.
Ukizingatia mkoa waRuvuma umepakana na nchi ya Malawi,ninashauri Mkuu wa huo mkoa amwakilisge Rais kwenye mazishi hayo ili kupunguza gharama.
Ni mawaxo yangu, ila safari za nje zinatuumiza sisi wanyonge.
Ukizingatia mkoa waRuvuma umepakana na nchi ya Malawi,ninashauri Mkuu wa huo mkoa amwakilisge Rais kwenye mazishi hayo ili kupunguza gharama.
Ni mawaxo yangu, ila safari za nje zinatuumiza sisi wanyonge.