Kupunguza gharama ninashauri Mkuu wa Mkoa Ruvuma amwakilishe Rais kwenye mazishi ya Makamu wa Rais Malawi

Kupunguza gharama ninashauri Mkuu wa Mkoa Ruvuma amwakilishe Rais kwenye mazishi ya Makamu wa Rais Malawi

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
14,255
Reaction score
23,949
Siku za karibuni, tutasikia Makamu wa Rais wa Malawi atazikwa.

Ukizingatia mkoa waRuvuma umepakana na nchi ya Malawi,ninashauri Mkuu wa huo mkoa amwakilisge Rais kwenye mazishi hayo ili kupunguza gharama.

Ni mawaxo yangu, ila safari za nje zinatuumiza sisi wanyonge.
 
Back
Top Bottom