Kupunguza mafuta usoni

Topd

Member
Joined
Aug 22, 2016
Posts
10
Reaction score
4
Habari wanajamvi hususani kona hii ya urembo, mitindo na utanashati,
Msaada jamani uso wangu unajaa sana mafuta. Mfano naweza nisipake chochote kile ila dk 2 tu unajaa mafuta tena kama jua likiniangaza kidogo tu. Utafikiri nimejipaka kopo zima la babycare.

Naomba ushauri nitumie nini ili kupunguza hii hali.
Asanteni!
 
mimi njia niliyokuwa naitumia ni kunawa uso au kuoga mara kwa mara...vile vile unaweza kuacha matumizi ya mafuta yenye asili ya mafuta...
 
Dermoviva ni kali sana ila inasaidia
 
Unapakaje maana ata mm nina mafuta
Scrub ni kama kawaida upaka baada ya dakika kama tano unasugua taratibu kutoa then unanawa na maji ya vuguvugu zoezi ni la kila wiki mpk utakaporidhika na matokeo.

Cleanser - chukua kitambaa safi then chovya na kuosha uso kwa wiki mara mbili.
Kiujumla mm sio mtaalam ila nimeona ni nzuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…