Salaam..
Miaka mitatu iliyopita mke wangu alijifungua mtoto kwa njia ya kisu. Mara baada ya kujifungua, hakulifunga tumbo lake kama ilivyo ada ya wanawake wanapojifungua. Kitu kilichosababisha tumbo liwe kubwa as if ana ujauzito wa miezi mitano.
Nishaurini, afanyaje ili tumbo lake lirudi ktk hali ya kawaida?
Miaka mitatu iliyopita mke wangu alijifungua mtoto kwa njia ya kisu. Mara baada ya kujifungua, hakulifunga tumbo lake kama ilivyo ada ya wanawake wanapojifungua. Kitu kilichosababisha tumbo liwe kubwa as if ana ujauzito wa miezi mitano.
Nishaurini, afanyaje ili tumbo lake lirudi ktk hali ya kawaida?