Hapana. Hatumii hayo madawa. Ana urefu wa cm 164 na uzito wa Kg 72Vipi anatumia vidonge/dawa za kuzuia ujauzito?. Nitajie urefu na kilo zake kwa sasa.
Salaam..
Miaka mitatu iliyopita mke wangu alijifungua mtoto kwa njia ya kisu. Mara baada ya kujifungua, hakulifunga tumbo lake kama ilivyo ada ya wanawake wanapojifungua. Kitu kilichosababisha tumbo liwe kubwa as if ana ujauzito wa miezi mitano.
Nishaurini, afanyaje ili tumbo lake lirudi ktk hali ya kawaida?
Hapana. Hatumii hayo madawa. Ana urefu wa cm 164 na uzito wa Kg 72
kama unona noma chukuwa cho
bo kinge mwanangu achana nae.