kupunguza unene kwa muda wa siku 14

Totoz

Member
Joined
Jan 27, 2013
Posts
99
Reaction score
18
naomba mnisaidie kuna dawa nimeiona inatagazwa kwenye blog ikisema inapunguza unene kwa siku 14 na dawa ni asili haina madhara wanavyodai. Wasiwasi nisije kufa maan kufunguza mwaili wiki 2 sio mchezo naomba ushauri niitumie hiyo dawa au la.
 
Sasa hapa unaomba msaada wa nini ikiwa jina la dawa hujaweka?
 
naomba mnisaidie kuna dawa nimeiona inatagazwa kwenye blog ikisema inapunguza unene kwa siku 14 na dawa ni asili haina madhara wanavyodai. Wasiwasi nisije kufa maan kufunguza mwaili wiki 2 sio mchezo naomba ushauri niitumie hiyo dawa au la.

Totoz pole sana..for a healthy way jinsi ya kupunguza uzito tembelea sisinamaisha.blogspot.com
 
Last edited by a moderator:
naomba mnisaidie kuna dawa nimeiona inatagazwa kwenye blog ikisema inapunguza unene kwa siku 14 na dawa ni asili haina madhara wanavyodai. Wasiwasi nisije kufa maan kufunguza mwaili wiki 2 sio mchezo naomba ushauri niitumie hiyo dawa au la.

Totoz pole sana..for a healthy way jinsi ya kupunguza uzito tembelea sisinamaisha.blogspot.com
 
Last edited by a moderator:
Kawaone wataalamu wa lishe hospitali,kuna ratiba unapewa,within 4 weeks unapunguza hadi kilo 12
 
dawa inaitwa KITAMBI SASA BASI inapatikana NEEMA HERBAR AND CLINIC na ipo CHANGANYIKENI.
 
Akili yake changanya na yako mwili unakuja kwa miaka sasa leo ukapungue kwa week mbili labda ndio unajichimbia kaburi
 
inamaana sio kweli

Totoz huna sababu ya kunywa madawa ww fuata diet tu.. utapungua vizuri mno.. kwa maelezo zaidi tembelea sisinamaisha.blogspot.com utapata ushauri na tips za kiafya.
 
Last edited by a moderator:
Mie nilishawahi kumnunulia mtu hiyo dawa kwa ukweli haijasaidia lolote,

people need to change for sure.. huo ni utapeli kumnywesha mtu midawa ambayo haina manifaa yoyote..kwann usimshauri ale kwa kufuata mpangilio fulani ili atimize lengo lake..

lifestyle change ndio solution..
 
biashara juu ya biashara!

sio biashara ni tips tu na lifestyle changes...siuzi dawa na wala sishauri mtu anywe dawa ya aina yoyote.. mimi naamini ni kubadilili mfumo wa maisha tu ndio solution ya kipekee.
 
Sikushauri ila fanya mazoezi ya kutembea zaidi kwa miguu na kukimbia na punguza chips na vitu vya mafuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…