Allien
JF-Expert Member
- Jul 6, 2008
- 5,546
- 1,861
Historia ya familia yetu: Baba na Mama > 65 Years
Last Born: 30 years
Dini: Mixture of Christian and Moslem
Makabila: Mchanganyiko wa Makabila mawili. In fact manne kama ukienda generation mbili nyuma (Mababu na Mabibi)
Itikadi: Baba na Mama walikuwa makada wa CCM. Miaka ya nyuma 2005 wote tulichagua CCM.
Mgawanyiko wa Kura:
1. Baba=CCM (Hapo nyuma enzi za Mrema aliwahi kuwa NCCR, then CUF sasa CCM lakini anaikubali CHADEMA. Anaishi kwake)
2. Mama=CHADEMA. Alikuwa home kwangu sasa kaondoka awahi alikojiandikisha ili kura yake isipotee. Anaishi kwake)
3. Mimi=CHADEMA Naishi na wife
4. Wife=CHADEMA anaishi nami
5. Sister 1=CCM anaishi kwake
6. Sister 2=CCM anaishi kwake
7. Sister 3=CHADEMA anaishi kwake.
Majumuisho:
CCM: 3 = 42.86%
CHADEMA: 4 = 57,14%
Je, utafiti wa kweli wa familia yako ukoje?
Naomba kuwakilisha
Last Born: 30 years
Dini: Mixture of Christian and Moslem
Makabila: Mchanganyiko wa Makabila mawili. In fact manne kama ukienda generation mbili nyuma (Mababu na Mabibi)
Itikadi: Baba na Mama walikuwa makada wa CCM. Miaka ya nyuma 2005 wote tulichagua CCM.
Mgawanyiko wa Kura:
1. Baba=CCM (Hapo nyuma enzi za Mrema aliwahi kuwa NCCR, then CUF sasa CCM lakini anaikubali CHADEMA. Anaishi kwake)
2. Mama=CHADEMA. Alikuwa home kwangu sasa kaondoka awahi alikojiandikisha ili kura yake isipotee. Anaishi kwake)
3. Mimi=CHADEMA Naishi na wife
4. Wife=CHADEMA anaishi nami
5. Sister 1=CCM anaishi kwake
6. Sister 2=CCM anaishi kwake
7. Sister 3=CHADEMA anaishi kwake.
Majumuisho:
CCM: 3 = 42.86%
CHADEMA: 4 = 57,14%
Je, utafiti wa kweli wa familia yako ukoje?
Naomba kuwakilisha