Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 7,093
- 10,469
Naisubiri kwa hamu sana kura ya Katiba na ili nione Matokeo yake ambayo vyovyote vile itavyokua kwangu mimi itatoa picha ya nchi ya Tanzania kwa maana Viongozi wa Dini ya Kikristo wamewashawishi Waumini wao wapige kura ya HAPANA na Viongozi wa Kiislamu pia wamewashauri waumini wao wapige kura ya HAPANA!
Serikali inawataka wananchi wake waikubali Katiba na kupiga Kura ya NDIYO sasa huu ni Mtihani, Je Watanzania tanaheshimu zaidi Dola kuliko kitu kingine?
Kama Watz wakipigia kura ya ndiyo basi Dola itakuwa imeshinda na itathibitishia kile nilichokuwa nakiamini siku zote kwamba Watz Siasa siyo Mtu/watu bali ni Itikadi!
Na kwamba Watz ni watu makini sana na sio Wajinga kama wengi wanavyodhani, tunaweza kutenganisha Imani yetu ambacho ni kitu binafsi na Dola na sio kufwata watu au kikundi fulani cha watu yaani kwa maana nyingine tunaheshimu Dola na ni kitu kizuri sana huko mbele!
Long Live TanZania!
Serikali inawataka wananchi wake waikubali Katiba na kupiga Kura ya NDIYO sasa huu ni Mtihani, Je Watanzania tanaheshimu zaidi Dola kuliko kitu kingine?
Kama Watz wakipigia kura ya ndiyo basi Dola itakuwa imeshinda na itathibitishia kile nilichokuwa nakiamini siku zote kwamba Watz Siasa siyo Mtu/watu bali ni Itikadi!
Na kwamba Watz ni watu makini sana na sio Wajinga kama wengi wanavyodhani, tunaweza kutenganisha Imani yetu ambacho ni kitu binafsi na Dola na sio kufwata watu au kikundi fulani cha watu yaani kwa maana nyingine tunaheshimu Dola na ni kitu kizuri sana huko mbele!
Long Live TanZania!