Kura ya Maoni Katiba Mpya (Tanganyika wakisema ndio Zanzibar hapana)

Kura ya Maoni Katiba Mpya (Tanganyika wakisema ndio Zanzibar hapana)

Kocho

Senior Member
Joined
Jun 5, 2013
Posts
120
Reaction score
21
wana jf katika jambo ambalo linanitatiza katika kichwa changu ni kura ya maoni katika huu muungano tata kwenye katiba mpya hivi ikitokea watanganyika wakapiga kura ya ndio na upande mwengine wa Zanzibar wakasema hapana hivi kuna kifungu chochote cha sharia kuhusu hili fumbo coz mmi niseme cjafahamu naomba mwenye jibu aniweke sawa, kuuliza ni njia moja ya kusoma nawakilisha.
 
Zanzibr tukisema no kuhusu muungano watakacho kifanya watanganyika ni kuivamia zanzbr na kulazimisha yes.
 
Zanzibr tukisema no kuhusu muungano watakacho kifanya watanganyika ni kuivamia zanzbr na kulazimisha yes.

mkuu c wananchi washakataa sharia inasemaje ikitokea pande mbili za muungano matokeo yakiwa tofauti
 
mkuu c wananchi washakataa sharia inasemaje ikitokea pande mbili za muungano matokeo yakiwa tofauti

Mkuu nitakufahamisha kwa mfano:

Wewe umeenda kumtaka mke lengo ni kumuoa lakini mke akikataa hakutaki hio ndoa itakua?

Jawabu haitakua kwasababu mmoja ya waliotaka kuowana hataki.

Kwahio Zanzibar wakipiga kura kama nchi au upande mmoja wa muungano basi maamuzi yao yatakwamisha katiba.

Lakini Zanzibar wakipiga kura kama wao ni Watanzania(nchi moja) basi maoni yao hayatachukuliwa bali yatachukuliwa maamuzi ya wengi( percent kubwa ya kura) yani watanganyika na wazanzibari kwa umoja wao.
 
Back
Top Bottom