Jana nilishuhudia mkutano kati ya wananchi wa shehiya ya chukwani, wilaya ya makharibi Zanzibar wakitoa maoni yao kuhusu muundo wa katiba mpya. walihudhuria watu wa maeneo mengi hadi watu wabara waliohamia zamaani na vizazi vyao tokea 1910. kilichonishangaza ni pale mtu mmoja aliposema "watu wa bara wamezidi zanzibae, ukristo umezidi makanisa kibaoo kama uyoga wakati zamani yalikua matatu tu. sasa tunaomba watu wa Bara waje kwa visa na pasport wamezidi wanachukua nafasi zetu za kazi tu" me katika akili yangu nikajua tu kua huyu mwananchi hajawahi kusafiri wewe je unafkiri nini?:sleepy: