Kura ya maoni ni upuuzi na ubathirifu!

Kura ya maoni ni upuuzi na ubathirifu!

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,817
Baada ya kutembea karibu Tanzania nzima, nadiriki kusema ya kwamba wanaoshabikia kura ya maoni yoyote ile iwe katiba au sijui nini hawaishi nchi hii ya Tanzania!

Tuchukulie kwa mfano hii inayoitwa Katiba. Nilichokiona huko mikoani, wilayani na vijijini ni kwamba zaidi ya asilimia 85% ya wananchi hawawezi hata kuandika neno katiba na kulisoma achilia mbali hata kuelewa maana yake.

Sasa mnataka wapige kura ya ndiyo ama ya hapana kwa kigezo gani? Utapigaje kura kwa kitu usichokielewa, halafu mnaita Katiba ya Wananchi? Ni kwa nini hizo fedha msiwekeze kwenye elimu, maji safi na kutibu maradhi badala ya kupoteza kwenye kitu kisichoeleweka?

Kuna tofauti gani na wakoloni waliokuwa wanawekesha mababu zetu saini za dole gumba na kijimilikisha ardhi na maeneo makubwa?


Ama kweli tofauti ya Mkolononi na Mwafrika mweusi ni rangi tu!
 
Baada ya kutembea karibu Tanzania nzima, nadiriki kusema ya kwamba wanaoshabikia kura ya maoni yoyote ile iwe katiba au sijui nini hawaishi nchi hii ya Tanzania!

Tuchukulie kwa mfano hii inayoitwa Katiba. Nilichokiona huko mikoani, wilayani na vijijini ni kwamba zaidi ya asilimia 85% ya wananchi hawawezi hata kuandika neno katiba na kulisoma achilia mbali hata kuelewa maana yake.

Sasa mnataka wapige kura ya ndiyo ama ya hapana kwa kigezo gani? Utapigaje kura kwa kitu usichokielewa, halafu mnaita Katiba ya Wananchi? Ni kwa nini hizo fedha msiwekeze kwenye elimu, maji safi na kutibu maradhi badala ya kupoteza kwenye kitu kisichoeleweka?

Kuna tofauti gani na wakoloni waliokuwa wanawekesha mababu zetu saini za dole gumba na kijimilikisha ardhi na maeneo makubwa?


Ama kweli tofauti ya Mkolononi na Mwafrika mweusi ni rangi tu!
Wewe na ukoo wenu ndo wapuuzi walala hoi na wachumia matumbo mlopewa kazi na Ukawa mchafue mchakato wa Katiba ambapo mmefeli kuharibu.
 
Baada ya kutembea karibu Tanzania nzima, nadiriki kusema ya kwamba wanaoshabikia kura ya maoni yoyote ile iwe katiba au sijui nini hawaishi nchi hii ya Tanzania!

Tuchukulie kwa mfano hii inayoitwa Katiba. Nilichokiona huko mikoani, wilayani na vijijini ni kwamba zaidi ya asilimia 85% ya wananchi hawawezi hata kuandika neno katiba na kulisoma achilia mbali hata kuelewa maana yake.

Sasa mnataka wapige kura ya ndiyo ama ya hapana kwa kigezo gani? Utapigaje kura kwa kitu usichokielewa, halafu mnaita Katiba ya Wananchi? Ni kwa nini hizo fedha msiwekeze kwenye elimu, maji safi na kutibu maradhi badala ya kupoteza kwenye kitu kisichoeleweka?

Kuna tofauti gani na wakoloni waliokuwa wanawekesha mababu zetu saini za dole gumba na kijimilikisha ardhi na maeneo makubwa?


Ama kweli tofauti ya Mkolononi na Mwafrika mweusi ni rangi tu!

Kunapokuwa na masuala ya kitaifa yanayohusu watu sasa na vizazi vya baadaye, utani, kejeli na vijembe siyo vitu vya maana na muhimu kwa nchi. Haiwezekani likawa taifa na kukosa Katiba? Sote tunajua Katiba ndiyo sheria mama ya nchi. Kama familia wanaweza kukaa na kubadilisha sheria na taratibu zao za kuishi ili waishi kwa amani, sembuse taifa? Tuache ushabiki wa matakwa binafsi ama ya mtu au kikundi flani ili kukidhi matakwa yao. Nchi hii itakuwepo na watu wataendelea kuwepo, hivyo kulingana na wakati mchakato ulioanzishwa kwa lengo jema la taifa kwa na Katiba Mpya ni mwema na siyo kitu kipya kufanyika hapa duniani. Matifa mengi yamefanya hivyo hata majirani zetu Kenya wamefanya hivyo kuwa na Katiba Mpya inaendana na wakati uliyopo ili kukidhi matakwa na mahitaji ya wananchi.
 
Kunapokuwa na masuala ya kitaifa yanayohusu watu sasa na vizazi vya baadaye, utani, kejeli na vijembe siyo vitu vya maana na muhimu kwa nchi. Haiwezekani likawa taifa na kukosa Katiba? Sote tunajua Katiba ndiyo sheria mama ya nchi. Kama familia wanaweza kukaa na kubadilisha sheria na taratibu zao za kuishi ili waishi kwa amani, sembuse taifa? Tuache ushabiki wa matakwa binafsi ama ya mtu au kikundi flani ili kukidhi matakwa yao. Nchi hii itakuwepo na watu wataendelea kuwepo, hivyo kulingana na wakati mchakato ulioanzishwa kwa lengo jema la taifa kwa na Katiba Mpya ni mwema na siyo kitu kipya kufanyika hapa duniani. Matifa mengi yamefanya hivyo hata majirani zetu Kenya wamefanya hivyo kuwa na Katiba Mpya inaendana na wakati uliyopo ili kukidhi matakwa na mahitaji ya wananchi.


Kwani nimesema kusiwe na Katiba? Sijasema hivyo bali nimesema kutaka kupiga kura ya maoni hapa TanZania yaani kuwauliza WatanZania kuhusu maoni yao juu ya Katiba ni Upuuzi na Ubadhirifu wa fedha kwa maana WatanZania walio wengi Mikoani, Wilayani, mpaka Vijijini hawaelewi hata ni nini maana ya Katiba sasa kuna maana gani? Kwa nini fedha zisitumike kuwajengea Shule, Zahanati, na Miundo Mbinu?

Na kama unafikiri ninachokisema siyo kweli fanya jaribio mwenyewe panda hata dala dala halafu muulize konda wa daladala Katiba maana yake nini, na kura ya maoni maana yake nini na hapo ni Dar sijaongelea Mikoani, Wilayani au vijijini waliko WatanZania wengi!

Sasa kama Watu hawajui hata maana ya kura ya maoni kuna haja gani ya kupoteza fedha si watafanya vile ambavyo wanasiasa watawaambia wafanye?
 
Mkuu tujuane aisee hongera kwa kutembea Tanzania nzima najua utakua umeona mengi na pia umewezeshwa na miundombinu iliyopo ilojengwa na Serikali ambayo imesababisha kutembea Tanzania nzima na kwa kuwa umevimbiwa na safari unaanza kumtukana aliyekuzaa!!!
 
Kwani nimesema kusiwe na Katiba? Sijasema hivyo bali nimesema kutaka kupiga kura ya maoni hapa TanZania yaani kuwauliza WatanZania kuhusu maoni yao juu ya Katiba ni Upuuzi na Ubadhirifu wa fedha kwa maana WatanZania walio wengi Mikoani, Wilayani, mpaka Vijijini hawaelewi hata ni nini maana ya Katiba sasa kuna maana gani? Kwa nini fedha zisitumike kuwajengea Shule, Zahanati, na Miundo Mbinu?

Na kama unafikiri ninachokisema siyo kweli fanya jaribio mwenyewe panda hata dala dala halafu muulize konda wa daladala Katiba maana yake nini, na kura ya maoni maana yake nini na hapo ni Dar sijaongelea Mikoani, Wilayani au vijijini waliko WatanZania wengi!

Sasa kama Watu hawajui hata maana ya kura ya maoni kuna haja gani ya kupoteza fedha si watafanya vile ambavyo wanasiasa watawaambia wafanye?

Sasa wewee, naamini kazi yako mimi na wewe ni kuwaelimisha. Kwanini usichukue hiyo fursa hata ya huyo konda mmoja ukamwelimisha ili naye awe mjumbe wa nchi kwa wenzake. Kwahiyo kwa kutokujua taifa nalo silisiwe na Mchakato huo kwa na kukosa misingi ya nchi kwa wewe kutokujua? Hayo ni mawazo ya ajabu ambayo si ya kuwaambia watu wazima.
 
Sasa wewee, naamini kazi yako mimi na wewe ni kuwaelimisha. Kwanini usichukue hiyo fursa hata ya huyo konda mmoja ukamwelimisha ili naye awe mjumbe wa nchi kwa wenzake. Kwahiyo kwa kutokujua taifa nalo silisiwe na Mchakato huo kwa na kukosa misingi ya nchi kwa wewe kutokujua? Hayo ni mawazo ya ajabu ambayo si ya kuwaambia watu wazima.


Siyo kazi yangu mimi kuelimisha Taifa la TanZania hiyo ni kazi ya Serikali na vyombo vyake kwa kuwa ndiyo yenye huwo uwezo, kama zaidi ya 85% ya WatanZania hawajui maana ya kura ya maoni na achilia mbali Katiba mimi kama mimi ninawezaje kufanya hiyo kazi?
Ndio maana nasema maadamu Wananchi hawaelewi Katiba ni nini na Kura ya maoni maana yake nini kuruhusu kupiga hizi kura ni kupoteza fedha na ni bora hizo fedha zipelekwe kwingine kwenye mahitaji ya muhimu zaidi kwa sasa kama Elimu, Tiba, Chakula n.k. Kinyume na hapo ni kutupa fedha chooni kwani sana sana tutaishia kulipa wapiga kampeni posho na hamna kitakachofanyika!

Ndiyo maana nikatoa mfano na Mikataba ya Kilaghai waliokuwa wanafanya Wakoloni (Waarabu, Wazungu, Wahindi &Co.) ambapo mababu zetu waliambiwa weka dole gumba hapa wakaweka kumbe ni mkataba wa kuuza Wilaya nzima, Leo hii Miaka 100 baadaye tunafanya yale yale tena mbaya zaidi ni sisi kwa sisi!
 
Siyo kazi yangu mimi kuelimisha Taifa la TanZania hiyo ni kazi ya Serikali na vyombo vyake kwa kuwa ndiyo yenye huwo uwezo, kama zaidi ya 85% ya WatanZania hawajui maana ya kura ya maoni na achilia mbali Katiba mimi kama mimi ninawezaje kufanya hiyo kazi?
Ndio maana nasema maadamu Wananchi hawaelewi Katiba ni nini na Kura ya maoni maana yake nini kuruhusu kupiga hizi kura ni kupoteza fedha na ni bora hizo fedha zipelekwe kwingine kwenye mahitaji ya muhimu zaidi kwa sasa kama Elimu, Tiba, Chakula n.k. Kinyume na hapo ni kutupa fedha chooni kwani sana sana tutaishia kulipa wapiga kampeni posho na hamna kitakachofanyika!

Ndiyo maana nikatoa mfano na Mikataba ya Kilaghai waliokuwa wanafanya Wakoloni (Waarabu, Wazungu, Wahindi &Co.) ambapo mababu zetu waliambiwa weka dole gumba hapa wakaweka kumbe ni mkataba wa kuuza Wilaya nzima, Leo hii Miaka 100 baadaye tunafanya yale yale tena mbaya zaidi ni sisi kwa sisi!


Wewe siyo muungwana, tena kibaraka. Umetumwa na nani kuharibu watu. Mwambie aliyekutuma amechemsha. Nimekushtukia pandikizi wewe
 
Asilimia 85 ya watanzania hawajui maana ya kura ya maoni nipe source ya data hii tafadhari!!!

SOURCE?????
 
Kuzungumza bila data unakuwa hueleweki zaidi ya Kuonekana Kama umetumwa kuharibu masuala mhimu ya kitaifa !tuache utoto katika masuala nyeti Kama haya ya upigaji Kura ya maoni na katiba pendekezwa!
 
Asilimia 85 ya watanzania hawajui maana ya kura ya maoni nipe source ya data hii tafadhari!!!

SOURCE?????


Hata wewe unaweza kulifanya hilo kwa urahisi tu! Anzia unapoishi halafu waulize watu wa Mtaani Kura ya maoni maana yake nini na Katiba halafu uangalie katika Watu kumi ni wangapi watakupa jibu la Uhakika, na upige Hesabu uone kama kama haujapata hiyo namba niliyoitaja!
 
Kuzungumza bila data unakuwa hueleweki zaidi ya Kuonekana Kama umetumwa kuharibu masuala mhimu ya kitaifa !tuache utoto katika masuala nyeti Kama haya ya upigaji Kura ya maoni na katiba pendekezwa!


Unataka data gani wakati zipo kila mahali na zimekuzunguka? Uliza watu unaowajua kama ukienda sokoni muulize muuza Genge Katiba maana yake nini na Kura ya maoni maana yake nini na hiyo ni Dar sijakwambia uende Mikoani na vijijini hivyo jaribu kuuliza Watu 10 halafu majibu utakayoyapata utafute Uwiano na unaweza kujua ni asilimia ngapi ya WatanZania wanaelewa maana ya Katiba na kura ya maoni!
 
Hata wewe unaweza kulifanya hilo kwa urahisi tu! Anzia unapoishi halafu waulize watu wa Mtaani Kura ya maoni maana yake nini na Katiba halafu uangalie katika Watu kumi ni wangapi watakupa jibu la Uhakika, na upige Hesabu uone kama kama haujapata hiyo namba niliyoitaja!

Nimegundua wewe ni kibaraka na umetumwa Sheria ya Takwimu 2015 ianze na wewe kujifanya kanjanja na mtafiti usiye na kichwa wala miguu tokaaa!!
 
Unataka data gani wakati zipo kila mahali na zimekuzunguka? Uliza watu unaowajua kama ukienda sokoni muulize muuza Genge Katiba maana yake nini na Kura ya maoni maana yake nini na hiyo ni Dar sijakwambia uende Mikoani na vijijini hivyo jaribu kuuliza Watu 10 halafu majibu utakayoyapata utafute Uwiano na unaweza kujua ni asilimia ngapi ya WatanZania wanaelewa maana ya Katiba na kura ya maoni!

uwezo wako wa kureason umefikia ukingoni no research no right to speak, huo utafiti wako ni vargue peleka ukatumie na familia yako!!!!teh teh teh teh
 
Back
Top Bottom