Wewe Jibwa muone mmeo huyo chini hapo
View attachment 253609
Naona pilipili ilo shamba imekuwasha kila mahali.............Mbaya zaidi sijui uliila nyingi maana hata choo chako kinaonyesha...............
Kawaulieze wenzako CAG kawapa ya aina gani MBUZI au KICHAA...........Naona UKAWA wamewatandika mpaka na ----- mwaka huu mnao.................
VOTE FOR UKAWA
Mpuuzi wewe umepungukiwa na akili ndo maana hao mabwana zako wa Ukawa wanakutumia kama ndoo ya chooni!
Mchumia tumbo wewe huna jipya humu ndani, unapoteza muda wa bure, kisa umelipwa jero jerokuteteta wajinga hao wa Ukawa
Tetty, Ukawa wamekula ya mbuzi sasa wameanza kuota mapembe. Bado mapema hivi kikundi cha mkusanyiko kimeanza kusambaratika? Ama kweli mbio za sakafuni huishia ukingoni.
Na safari hii yule mgombea wenu hatoki,hivyo sahau kabisa kama ATM itakuwepo...........:hatari::hatari:
Ok!!!!!!!!!!Nitakujibu hivi,kwa sababu umeshazoea kutumiwa kama ndoo ya chooni basi unadhani watu wote wanatumiwa kama wewe.............
Naona nimepiga penyewe ukiona watu wanatoka na :A S-rap: ya matusi basi ujue........dawa imeingia vyema na mgonjwa anarespond vizuri.....wewe :cheer2::cheer2::cheer2::whoo::whoo::whoo::whoo:
Tetty, Ukawa wamekula ya mbuzi sasa wameanza kuota mapembe. Bado mapema hivi kikundi cha mkusanyiko kimeanza kusambaratika? Ama kweli mbio za sakafuni huishia ukingoni.
Mbona una weweseka wewe? unasumbuliwa na nini? Uwe muwazi maana unasemasema maneno mengi mengi yasiyo na msingi wowote. Acha hizo
NDOA ya ukawa aloiunganisha ni Lema!!
Hao wawili wa mgongoni na yule anayefuatia, wanadhitije? Mbona kama wanamfanyia kitu cha kumsababishia maumivu makali sana? Wanamfanyaje?
Njia sahihi ilikuwa ni kumtoa nje ya kikao badala ya kumjeruhi kisirisiri. Kutofautiana siyo kugombana.
Na wewe ya kwako na mgombea wako ameiunganisha nani?Nyie ndiyo wale mnaotakiwa kutafutiwa consultant ili mpimwe uwezo wenu wakufikiri.
Anayesema maneno ya kuweweseka ni nani?Unajua unapojibu quote ya mtu hakikisha umemuelewa.Nimeona mmekuja kama siafu waliokuta ganda la muwa.
Jiulize kinachowasumbua nyie CCM ni nini?Mambo ya ukawa waachie ukawa.Why worry about something which does not concern you?
Kama unaona UKAWA unakufa well and good uache UFE ni furaha kwenu au...........
Wenzako unaokuja nao wamekuja na matusi mengi wakifikiria nitawatukana nipate BAN ,haitakaa itokee........So mawili nenda shamba kalime tuachie ndugu tutatue matatizo yetu.............Vinginevyo tutakapopatana hutokaa uvune kamwe............Pole sana ila ACHA hizi :bange: Sababu siyo hii:tea:
Samani pilipili umewekewa kwenye chakula au ipo shambani?Na kwa kukusaidia tu ili usipoteze muda wako ni kuwa Ndugu wakigombana.............Wakipatana..............Sasa wewe ukijidai kuingilia halafu wakaja patana haujalima sijui utavuna nini.......
Tulieni tu kama mnanyolewa nywele.........Na hebu kimbilia Dodoma nasikia Mgombea wako kalazwa Dodoma Hospital pale fanya haraka...............
Tatizo lako wewe inafikiria yasiyo kusaidia katika yale unayoyasema.Kua wewe! Na sina nia ya kukutaka utukane. Aka! Hulka ya matusi kwanza mimi siipendi maana tunadhalilishana, hapa tunatakiwa kujengana na kueleweshana panapobidi. N kwenye hoja, usitarajie kila mtu atakubaliana na hoja yako. Wapo watakaokuunga mkono na wapo watakao hitilafiana na wewe. Hivyo busara daima ndiyo fimbo njema ya mazungumzo ya humu ndani.
ACHA KUKIMBIZA KIVULI CHAKO TUTAFUTIE MGOMBEA WA TEAM BUGURUNI HAPA CHINI
1992-1998. M/ kiti Edwin Mtei
1988-2003. M/kiti Bob Makani
2003-2008. Mkiti Freeman Mbowe
2009-2014. M/ kiti Freeman Mbowe
2014-2019. M/ kiti Freeman Mbowe
CUF (Civic United Front).
1995-2000. Mkiti Ibrahim Lipumba.
2000-2005. mkiti Ibrahimu Lipumba.
2005 -2011. mkiti Ibrahim Lipumba.
2011-2017 . mkiti Ibrahim Lipumba.
NCCR MAGEUZI.
1992-1995. Mkiti Mabere Marando.
1995-1999. Mkiti Augustin Mrema.
2000-2010. Mkiti James Mbatia.
2005-2010. Mkiti James Mbatia.
2010-2014. Mkiti James Mbatia.
2015-2020. Mkiti James Mbatia.
NDOA YA WACHUMIATUMBO LIYEWAUNGSHA LEMA,Featuring SUGU UNATEGEMEA NINI HATA KWA MSAJILI HAIPO TEH TEH TEH KWISHAAA,
Yeye atake Kupigana hadharani atolewe kisirisiri uliona wapi this year UKAWA WATAUANA TU.
Hayo mashairi yako mpelekee babu yako au huyuView attachment 253630Wewe huna tofauti na mtu aliyevuliwa MARINDA sehemu zote za mwili mpaka UBONGO wako...........
Haya tuambie huyo mkullu wako ametuletea nini zaidi ya chuki na visasi?
Sina muda wa kulumbana na mtu ambaye hana MARINDA ya kwenye suruali wala kwenye ubongo....Kufuatilia tu wanaume wenzako,lazima tujiulize hivi wewe ni rijali kweli?Au wanaokupa pesa washafumua MARINDA huko?
Nyie ndiyo wale wakati NDOA yao nyumbani ikiota mbawa wako busy na ndoa ya jirani.Any way kamuulize Prof Maji Marefu kama ameshawatengenezea dawa msije mkawamaliza Albino zaidi.:shetani::shetani: WAKUBWA NYIE