Centrehalf
JF-Expert Member
- Jun 9, 2013
- 509
- 145
Salaam wana jamvi,
Kumekuwa na tetesi kuwa waziri wa Afrika Mashariki na spika wa zamani wa bunge la katiba mh. Samwel Sitta ni miongoni mwa wanaotaka kugombea uwenyekiti wa kudumu pamoja na mh. Andrew Chenge mwenyekiti wa kamati uchumi na mwanasheria mkuu wa zamani katika serikali ya awamu ya tatu nae ametajwa kuutaka uwenyekiti wa bunge la katiba.
Je wewe ungependa nani awe mwenyekiti wa bunge la katiba?
Nawasilisha.
Kumekuwa na tetesi kuwa waziri wa Afrika Mashariki na spika wa zamani wa bunge la katiba mh. Samwel Sitta ni miongoni mwa wanaotaka kugombea uwenyekiti wa kudumu pamoja na mh. Andrew Chenge mwenyekiti wa kamati uchumi na mwanasheria mkuu wa zamani katika serikali ya awamu ya tatu nae ametajwa kuutaka uwenyekiti wa bunge la katiba.
Je wewe ungependa nani awe mwenyekiti wa bunge la katiba?
Nawasilisha.