Kura ya WAZI vs kura ya SIRI : msaada wa haraka!!

Kura ya WAZI vs kura ya SIRI : msaada wa haraka!!

Nellyonjolo1

Senior Member
Joined
Dec 2, 2012
Posts
120
Reaction score
39
Habari zenu wadau.
Leo nina utimiza usemi kuwa kuuliza si ujinga. Nikiwa kama mtanzania nisiye na ufahamu wa kutosha ktk siasa yetu ya bongo ningependa kufafanuliwa mambo yafuatayo ambayo yanawachanganya wajumbe wetu kule bungeni na kupelekea hata wengine kulia
1. Nini tofauti kati ya kura hizi mbili?
2. Kuna madhara gani ktk kura ya siri/wazi?
3. Kuna faida gani ktk kura ya siri/wazi?

Najua kuna wadau humu mitandaoni hata mtaani wanashabikia tu lakini hawajui wanabishania nini..

Nawasilisha..
 
Habari zenu wadau.
Leo nina utimiza usemi kuwa kuuliza si ujinga. Nikiwa kama mtanzania nisiye na ufahamu wa kutosha ktk siasa yetu ya bongo ningependa kufafanuliwa mambo yafuatayo ambayo yanawachanganya wajumbe wetu kule bungeni na kupelekea hata wengine kulia
1. Nini tofauti kati ya kura hizi mbili?
2. Kuna madhara gani ktk kura ya siri/wazi?
3. Kuna faida gani ktk kura ya siri/wazi?

Najua kuna wadau humu mitandaoni hata mtaani wanashabikia tu lakini hawajui wanabishania nini..

Nawasilisha..

Ngoja wenye kujua waje maana hata mimi nashindwa kuelewa huu utata unakinzana vipi. ila kwa upande wangu naona kura ya siri ni mpango mzuri
 
Kura ya wazi ina lengo la kushurutisha kufanya maamuzi kinyume na msimamo wako. CCM imetumia njia hii kupitisha hata bajeti mbovu za serikali. Kura za siri ina lengo la kidemokrasia, mtu huwa huru kutoa maamuzi kwa kuzingatia msimamo wake. Hiki kinachoimbwa na ccm kwamba wametumwa wawawakilishe wanan hi ni uongo, kwanini wananchi wawatume wakati wameshiriki moja kwa moja kutengeneza rasimu. Mimi ni mwananchi wa jimbo la songea. Hakuna hata siku moja Nchimbi ameitisha mkutano jimbon kutaka kujua maoni yetu kuhusu k.m muundo wa serikali 1,3,2. Eti wananchi wametutuma...hatujawatuma kutengeneza katiba, bali kuilinda.
 
Kwa mfano ingepita kura ya wazi, ina maana Mwenyekiti wakudumu kesho angechaguliwa kwa kura ya wazi???
 
Kura ya wazi ina lengo la kushurutisha kufanya maamuzi kinyume na msimamo wako. CCM imetumia njia hii kupitisha hata bajeti mbovu za serikali. Kura za siri ina lengo la kidemokrasia, mtu huwa huru kutoa maamuzi kwa kuzingatia msimamo wake. Hiki kinachoimbwa na ccm kwamba wametumwa wawawakilishe wanan hi ni uongo, kwanini wananchi wawatume wakati wameshiriki moja kwa moja kutengeneza rasimu. Mimi ni mwananchi wa jimbo la songea. Hakuna hata siku moja Nchimbi ameitisha mkutano jimbon kutaka kujua maoni yetu kuhusu k.m muundo wa serikali 1,3,2. Eti wananchi wametutuma...hatujawatuma kutengeneza katiba, bali kuilinda.

Tunasubiri wakisigina maoni yetu na kuweka wanayotaka wao tutajua cha kufanya, ikiwa ni pamoja na kuweka zuio kwenye mkono wa sheria hadi pale kile kilichokubaliwa na WANANCHI kitakapoheshimiwa.
 
hivi kweli kesho mwenyekiti watampata vip kama namna ya kupiga kura haijakubaliwa?
 
Habari zenu wadau.
Leo nina utimiza usemi kuwa kuuliza si ujinga. Nikiwa kama mtanzania nisiye na ufahamu wa kutosha ktk siasa yetu ya bongo ningependa kufafanuliwa mambo yafuatayo ambayo yanawachanganya wajumbe wetu kule bungeni na kupelekea hata wengine kulia
1. Nini tofauti kati ya kura hizi mbili?
2. Kuna madhara gani ktk kura ya siri/wazi?
3. Kuna faida gani ktk kura ya siri/wazi?

Najua kuna wadau humu mitandaoni hata mtaani wanashabikia tu lakini hawajui wanabishania nini..

Nawasilisha..

Mkuu, wabunge wale hawachanganyikiw, bali wanalazimisha kujichanganya ila ukweli unajulikana na wanajua kura halali huwa ni ya SIRI, hata ile wakati wa Bunge la Bajeti kusema ndiyoooo ni kupotoka kuliko kwa dhahiri. Ila kwa mfano leo umchukue kila mjumbe mmoja mmoja kivyake halafu uwapitishe mmoja mmoja peke yake chumbani ambako kuna Padre/ Askofu/ Paroko akiwa na Biblia, halafu kuna Sheikh/ Ustadh akiwa na Q' uran, halafu mmoja mmoj aape kwa nafsi yake kile anachoamini kutoka moyoni na kwa kuwawakilisha wananchi, nakuhakikishia, kwa dhati kutoka Moyoni 90% wangeapa kuridhia ya SIRI, pia kwa kiapo hichohicho kwa dhati 90%> wangeridhia serikali3. Kama jambo la kuapa kwa viongozi wa dini lingefanyika watu wasingeamini macho yao kwa matokeo ambayo yangetokea.
 
Back
Top Bottom