Kura yako ina thamani sana, inaweza kubeba hatma ya nchi yako

Kura yako ina thamani sana, inaweza kubeba hatma ya nchi yako

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Kuna siku wananchi wa Ukraine walipiga kura wakajikuta wameingia mkenge kwa kumchagua mtu ambaye amelitumbukiza Taifa kwenye maafa na majanga makubwa sana ya kivita!

1730234683806.png

Sasa Rais mwenyewe anajuta na wananchi wenyewe wanajuta!!
 
Hahaha Bora vita kuliko MAJIZI kama CCM. Wanapigana wale wakaa bure who cares.
 
Kura Zetu Zina Thamani Hilo ni Kweli,Lkn hao Wanaozitaka hizo kura Zetu Kila tukiwathaminisha ndo tunapokuja gundua hawana Thamani hiyo Kbs...!
 
Back
Top Bottom