mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Kuna siku wananchi wa Ukraine walipiga kura wakajikuta wameingia mkenge kwa kumchagua mtu ambaye amelitumbukiza Taifa kwenye maafa na majanga makubwa sana ya kivita!
Sasa Rais mwenyewe anajuta na wananchi wenyewe wanajuta!!
Sasa Rais mwenyewe anajuta na wananchi wenyewe wanajuta!!