MICHAEL SON
JF-Expert Member
- Apr 17, 2020
- 458
- 536
Asalam,, Corona itapita . na uchaguzi utafanyika Inshaalah. iwe mwaka huu ama mwaka wowote ule, Allah akinilinda na kunipa uhai huu ndo utakua mustakabali ya kura yangu.
SITOMPA KURA YANGU MAGUFULI ,.
Niweke wazi kabisa siwezi kumpa kura yangu MAGUFULI japo nina kadi active ya CCM. kwa SABABU zangu binafsi zifatazo
1. KUONGEZA MAKATO YA BODI
YA MKOPO KUTOKAA 8%-15% KINYUME NA MKATABA Hili ongezeko limeniathiri sana ki uchumi kwani zaidi ya 50,000/= imekua ikikatwa kila mwezi katika MSHAHARA wangu wa mkia wa mbuzi uliokaa dormant Miaka 4 na sasa wa 5..
2. KUNIPIKONYA MSHAHARA WANGU WA DARAJA JIPYA 2015.
Wakati Mh JK Ana ondoka nilipanda daraja na July mwaka 2015 nikaanza KUPATA MSHAHARA mpya ulionipa nguvu na hali ya kutenda kazi hapa ni BAADA ya kutumikia cheo cha awali kwa Miaka 5, Ila BAADA ya huyu Rais MAGUFULI kuingia bila huruma alisitisha MSHAHARA wangu mpya niliopokea kwa miezi 5 tu,,, akaondoa stahiki yangu zaidi ya 200,000/=,,na hapo hapo kuniongezea makato kwa 7% nikawa na matumaini uhakiki ukiisha haki yangu itarejeshwa hadi leo nipo napuyanga na maisha,hakuna jipya ni Story zile zile
3. UGUMU WA KUFANYA BIASHARA .
Tangu huyu bwana apewe nchi kumekua na vikwazo lukuki vya biashara makadilio ya kodi makubwa,,na kulazimishwa kununu EFD mashine ilihali mtaji wangu hauzid hata 1M. pia mzunguko wa fedha umekua mgumu hakuna pesa hakuna wateja nikafunga biashara
4.KUDHULUMIWA FEDHA ZANGU ZA KOROSHO
Sikuchoka kupambana nikajichanga pamoja na kuomba MKOPO bank ,,nikakodi shamba la KOROSHO kwa mkulima mmoja huku lindi vijijini mavuno hayakua haba ,,nikauza nikitegemea 3300/= sh kwa kilo kama alivyo ipamba itanifuta machozi matokeo yake nikambiwa mm ni mlanguzi wa Kangomba sikulipwa zaid ya 6M.
Najua mara nyingi mnaiba kura ,,ila hata ukiiba Jua kabisa kura yangu sitokupa..
Niwaombe watanzania wenzangu mliopatwa na maswahibu kama yangu kwa namna moja ama nyingine unganeni na mimi Kajiandikisheni kama muda ungalipo,,na tukapiga kura ,,,,,,, WHAT A WORSE PRESIDENT EVER..( spare me some gramatical error)
SITOMPA KURA YANGU MAGUFULI ,.
Niweke wazi kabisa siwezi kumpa kura yangu MAGUFULI japo nina kadi active ya CCM. kwa SABABU zangu binafsi zifatazo
1. KUONGEZA MAKATO YA BODI
YA MKOPO KUTOKAA 8%-15% KINYUME NA MKATABA Hili ongezeko limeniathiri sana ki uchumi kwani zaidi ya 50,000/= imekua ikikatwa kila mwezi katika MSHAHARA wangu wa mkia wa mbuzi uliokaa dormant Miaka 4 na sasa wa 5..
2. KUNIPIKONYA MSHAHARA WANGU WA DARAJA JIPYA 2015.
Wakati Mh JK Ana ondoka nilipanda daraja na July mwaka 2015 nikaanza KUPATA MSHAHARA mpya ulionipa nguvu na hali ya kutenda kazi hapa ni BAADA ya kutumikia cheo cha awali kwa Miaka 5, Ila BAADA ya huyu Rais MAGUFULI kuingia bila huruma alisitisha MSHAHARA wangu mpya niliopokea kwa miezi 5 tu,,, akaondoa stahiki yangu zaidi ya 200,000/=,,na hapo hapo kuniongezea makato kwa 7% nikawa na matumaini uhakiki ukiisha haki yangu itarejeshwa hadi leo nipo napuyanga na maisha,hakuna jipya ni Story zile zile
3. UGUMU WA KUFANYA BIASHARA .
Tangu huyu bwana apewe nchi kumekua na vikwazo lukuki vya biashara makadilio ya kodi makubwa,,na kulazimishwa kununu EFD mashine ilihali mtaji wangu hauzid hata 1M. pia mzunguko wa fedha umekua mgumu hakuna pesa hakuna wateja nikafunga biashara
4.KUDHULUMIWA FEDHA ZANGU ZA KOROSHO
Sikuchoka kupambana nikajichanga pamoja na kuomba MKOPO bank ,,nikakodi shamba la KOROSHO kwa mkulima mmoja huku lindi vijijini mavuno hayakua haba ,,nikauza nikitegemea 3300/= sh kwa kilo kama alivyo ipamba itanifuta machozi matokeo yake nikambiwa mm ni mlanguzi wa Kangomba sikulipwa zaid ya 6M.
Najua mara nyingi mnaiba kura ,,ila hata ukiiba Jua kabisa kura yangu sitokupa..
Niwaombe watanzania wenzangu mliopatwa na maswahibu kama yangu kwa namna moja ama nyingine unganeni na mimi Kajiandikisheni kama muda ungalipo,,na tukapiga kura ,,,,,,, WHAT A WORSE PRESIDENT EVER..( spare me some gramatical error)