Tatizo mnasema mna moyo mkuu ila ni kwa vile mmejificha kwa id fake. Kama we ni mkweli basi sema we ni nani, uko wapi, na nia yako ni niniNdo nimeanza na sitoacha Mkuu,,, najua wazi kura yangu ina nguvu ila haitoshi hivyo ntakushawishi na wewe na wengine,,,, NCHI YETU SOTE,,na huu ujinga mloleta awamu ya tano mkipewa hoja Zikawagusa hamjibu kwa hoja mnakimbilia kutushutumu kwa uchochezi? sasa wacha niongeze kuni
Achana na maccm yamejaa ushirikina ndio maana nchi imewashindaMIKOSI yangu imefanya Watumishi wote wasipate annual increment kwa Miaka 4?. who am I na ukoo wangu?.. MIKOSI YANGU Ndo imefanya wanufaika wote wa bodi ya mikopo kuongezewa makato?.. oooh who am I?
MIKOSI yangu Ndo imefanya wananchi wa mikoa ya kusini wanalia hadi leo NYUMBA nyingi zimechorwa na mabenki who am I na ukoo wangu?... use your brain ,,weeds isukupereke putaa Mkuu
go and smoke na kumbuka ku sanitize ,keep distance your vote is important
Kwani hamjawekeza kwenye kubaini ID fake ili kuwashughulikie ili uchumi ukueTatizo mnasema mna moyo mkuu ila ni kwa vile mmejificha kwa id fake. Kama we ni mkweli basi sema we ni nani, uko wapi, na nia yako ni nini
Nia yangu NIMEKUELEZA usijitoe akili rudi soma maelezo yangu,Na mimi ni PHILIPO MICHAEL MILINGA.,,Nipo Mkoa wa Lindi (mtama kwa Nape Nnauye). Sema kingine UNATAKA nini?.Tatizo mnasema mna moyo mkuu ila ni kwa vile mmejificha kwa id fake. Kama we ni mkweli basi sema we ni nani, uko wapi, na nia yako ni nini
Mkuu tunakosea wakati wa kwenda sio wakati wa kurudiKumbe kuna watu walimpa 2015??
Sasa kama Waziri Mkuu kasema vifo vya Corona ni 16 tu, then huu ndiyo ukweli. Tanzania watu waliokufa kwa Corona mpaka sasa ninapoandika hapa, ni watu 16 tu na huu ndio ukweli wenyewe.Asalam,, Corona itapita . na uchaguzi utafanyika Inshaalah. iwe mwaka huu ama mwaka wowote ule, Allah akinilinda na kunipa uhai huu ndo utakua mustakabali ya kura yangu.
SITOMPA KURA YANGU MAGUFULI ,.
Niweke wazi kabisa siwezi kumpa kura yangu MAGUFULI japo nina kadi active ya CCM. kwa SABABU zangu binafsi zifatazo
1. KUONGEZA MAKATO YA BODI
YA MKOPO KUTOKAA 8%-15% KINYUME NA MKATABA Hili ongezeko limeniathiri sana ki uchumi kwani zaidi ya 50,000/= imekua ikikatwa kila mwezi katika MSHAHARA wangu wa mkia wa mbuzi uliokaa dormant Miaka 4 na sasa wa 5..
2. KUNIPIKONYA MSHAHARA WANGU WA DARAJA JIPYA 2015.
Wakati Mh JK Ana ondoka nilipanda daraja na July mwaka 2015 nikaanza KUPATA MSHAHARA mpya ulionipa nguvu na hali ya kutenda kazi hapa ni BAADA ya kutumikia cheo cha awali kwa Miaka 5, Ila BAADA ya huyu Rais MAGUFULI kuingia bila huruma alisitisha MSHAHARA wangu mpya niliopokea kwa miezi 5 tu,,, akaondoa stahiki yangu zaidi ya 200,000/=,,na hapo hapo kuniongezea makato kwa 7% nikawa na matumaini uhakiki ukiisha haki yangu itarejeshwa hadi leo nipo napuyanga na maisha,hakuna jipya ni Story zile zile
3. UGUMU WA KUFANYA BIASHARA .
Tangu huyu bwana apewe nchi kumekua na vikwazo lukuki vya biashara makadilio ya kodi makubwa,,na kulazimishwa kununu EFD mashine ilihali mtaji wangu hauzid hata 1M. pia mzunguko wa fedha umekua mgumu hakuna pesa hakuna wateja nikafunga biashara
4.KUDHULUMIWA FEDHA ZANGU ZA KOROSHO
Sikuchoka kupambana nikajichanga pamoja na kuomba MKOPO bank ,,nikakodi shamba la KOROSHO kwa mkulima mmoja huku lindi vijijini mavuno hayakua haba ,,nikauza nikitegemea 3300/= sh kwa kilo kama alivyo ipamba itanifuta machozi matokeo yake nikambiwa mm ni mlanguzi wa Kangomba sikulipwa zaid ya 6M.
Najua mara nyingi mnaiba kura ,,ila hata ukiiba Jua kabisa kura yangu sitokupa..
Niwaombe watanzania wenzangu mliopatwa na maswahibu kama yangu kwa namna moja ama nyingine unganeni na mimi Kajiandikisheni kama muda ungalipo,,na tukapiga kura ,,,,,,, WHAT A WORSE PRESIDENT EVER..( spare me some gramatical error)
Sijui mtu anayewaza kumpa mtu kama huyu kura atakuwa vipi. Ila kwa ufinyu wa akili za watu atapata kuna ndondocha nchi hii bwana.Asalam,, Corona itapita . na uchaguzi utafanyika Inshaalah. iwe mwaka huu ama mwaka wowote ule, Allah akinilinda na kunipa uhai huu ndo utakua mustakabali ya kura yangu.
SITOMPA KURA YANGU MAGUFULI ,.
Niweke wazi kabisa siwezi kumpa kura yangu MAGUFULI japo nina kadi active ya CCM. kwa SABABU zangu binafsi zifatazo
1. KUONGEZA MAKATO YA BODI
YA MKOPO KUTOKAA 8%-15% KINYUME NA MKATABA Hili ongezeko limeniathiri sana ki uchumi kwani zaidi ya 50,000/= imekua ikikatwa kila mwezi katika MSHAHARA wangu wa mkia wa mbuzi uliokaa dormant Miaka 4 na sasa wa 5..
2. KUNIPIKONYA MSHAHARA WANGU WA DARAJA JIPYA 2015.
Wakati Mh JK Ana ondoka nilipanda daraja na July mwaka 2015 nikaanza KUPATA MSHAHARA mpya ulionipa nguvu na hali ya kutenda kazi hapa ni BAADA ya kutumikia cheo cha awali kwa Miaka 5, Ila BAADA ya huyu Rais MAGUFULI kuingia bila huruma alisitisha MSHAHARA wangu mpya niliopokea kwa miezi 5 tu,,, akaondoa stahiki yangu zaidi ya 200,000/=,,na hapo hapo kuniongezea makato kwa 7% nikawa na matumaini uhakiki ukiisha haki yangu itarejeshwa hadi leo nipo napuyanga na maisha,hakuna jipya ni Story zile zile
3. UGUMU WA KUFANYA BIASHARA .
Tangu huyu bwana apewe nchi kumekua na vikwazo lukuki vya biashara makadilio ya kodi makubwa,,na kulazimishwa kununu EFD mashine ilihali mtaji wangu hauzid hata 1M. pia mzunguko wa fedha umekua mgumu hakuna pesa hakuna wateja nikafunga biashara
4.KUDHULUMIWA FEDHA ZANGU ZA KOROSHO
Sikuchoka kupambana nikajichanga pamoja na kuomba MKOPO bank ,,nikakodi shamba la KOROSHO kwa mkulima mmoja huku lindi vijijini mavuno hayakua haba ,,nikauza nikitegemea 3300/= sh kwa kilo kama alivyo ipamba itanifuta machozi matokeo yake nikambiwa mm ni mlanguzi wa Kangomba sikulipwa zaid ya 6M.
Najua mara nyingi mnaiba kura ,,ila hata ukiiba Jua kabisa kura yangu sitokupa..
Niwaombe watanzania wenzangu mliopatwa na maswahibu kama yangu kwa namna moja ama nyingine unganeni na mimi Kajiandikisheni kama muda ungalipo,,na tukapiga kura ,,,,,,, WHAT A WORSE PRESIDENT EVER..( spare me some gramatical error)
Tupo pamoja ata mimi sijamuelewa miaka yote 5Kijana umeongea kwa machungu sana. Mimi nilikuwa nshakataa tamaa na sikwenda kuboresha taarifa zangu kwenye daftari la kupigia kura. Ila kwa hili andiko lake nitafanya kila namna niboreshe na kura nipige.
Nilimpa kura 2015 ila kwa Sasa hafai hata sekunde kubaki Ikulu
Sent using Jamii Forums mobile app
Tz ninchi bora na tajiri zaidi East Afrika ukichkua KE,UG & TZ lkn nionavyo mimi!!
- Elimu tunashika mki
- Afya tunazidiwa.
- viwanda tunazidiwa.
- ukubwa wa majiji tunazidiwa.
- umeme tukoduni mpaka Ug wanatuuzia.
- maji na umwagiliaji tukoduni.
- furaha ya maisha tukochini.
- michezo tukochini.
- maelewano kimataifa wamwisho
- biashara tukochini.
Vitu tufanyavyo tukaongoza kwa nijuavyo,
- kwasasa koona.
- kuchati mitandaoni na kura.
- kuogopa mabadiliko yavyama.
- vyama duni vya wafanyakazi.
- mahakama na taasisi nyingi kuingiliwa.
- walimu wenyeuwezo duni
- kujisifu na kuendekeza siaza za vyama.
- mishahara duni
- .....
Kivipi nisichague mabadiliko? Bora hata kumpa uongozi shoe shiner kama Brazil mradi tusizoeane vibaya maujinga yanayofanyika yawekwe wazi na hatua zichukuliwe juu yao wanaotufelisha
To be exact, he is the worst to have ever walked this land. Any of the two finalist women in the Party Meeting to select candidate, would have been better by far. We will live to regret the blunder we made in 2015.Asalam,, Corona itapita . na uchaguzi utafanyika Inshaalah. iwe mwaka huu ama mwaka wowote ule, Allah akinilinda na kunipa uhai huu ndo utakua mustakabali ya kura yangu.
SITOMPA KURA YANGU MAGUFULI ,.
Niweke wazi kabisa siwezi kumpa kura yangu MAGUFULI japo nina kadi active ya CCM. kwa SABABU zangu binafsi zifatazo
1. KUONGEZA MAKATO YA BODI
YA MKOPO KUTOKAA 8%-15% KINYUME NA MKATABA Hili ongezeko limeniathiri sana ki uchumi kwani zaidi ya 50,000/= imekua ikikatwa kila mwezi katika MSHAHARA wangu wa mkia wa mbuzi uliokaa dormant Miaka 4 na sasa wa 5..
2. KUNIPIKONYA MSHAHARA WANGU WA DARAJA JIPYA 2015.
Wakati Mh JK Ana ondoka nilipanda daraja na July mwaka 2015 nikaanza KUPATA MSHAHARA mpya ulionipa nguvu na hali ya kutenda kazi hapa ni BAADA ya kutumikia cheo cha awali kwa Miaka 5, Ila BAADA ya huyu Rais MAGUFULI kuingia bila huruma alisitisha MSHAHARA wangu mpya niliopokea kwa miezi 5 tu,,, akaondoa stahiki yangu zaidi ya 200,000/=,,na hapo hapo kuniongezea makato kwa 7% nikawa na matumaini uhakiki ukiisha haki yangu itarejeshwa hadi leo nipo napuyanga na maisha,hakuna jipya ni Story zile zile
3. UGUMU WA KUFANYA BIASHARA .
Tangu huyu bwana apewe nchi kumekua na vikwazo lukuki vya biashara makadilio ya kodi makubwa,,na kulazimishwa kununu EFD mashine ilihali mtaji wangu hauzid hata 1M. pia mzunguko wa fedha umekua mgumu hakuna pesa hakuna wateja nikafunga biashara
4.KUDHULUMIWA FEDHA ZANGU ZA KOROSHO
Sikuchoka kupambana nikajichanga pamoja na kuomba MKOPO bank ,,nikakodi shamba la KOROSHO kwa mkulima mmoja huku lindi vijijini mavuno hayakua haba ,,nikauza nikitegemea 3300/= sh kwa kilo kama alivyo ipamba itanifuta machozi matokeo yake nikambiwa mm ni mlanguzi wa Kangomba sikulipwa zaid ya 6M.
Najua mara nyingi mnaiba kura ,,ila hata ukiiba Jua kabisa kura yangu sitokupa..
Niwaombe watanzania wenzangu mliopatwa na maswahibu kama yangu kwa namna moja ama nyingine unganeni na mimi Kajiandikisheni kama muda ungalipo,,na tukapiga kura ,,,,,,, WHAT A WORSE PRESIDENT EVER..( spare me some gramatical error)