Uchaguzi 2020 Kura yangu kwa Lissu

Uchaguzi 2020 Kura yangu kwa Lissu

Midazolam

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2020
Posts
807
Reaction score
1,340
Mwenye macho anatazama mwenyewe na mwenye akili anajua anachokifanya.

Nchi lazima iwe imara kwa katiba ,bila katiba nchi inakuwa dhaifu Sana

Ni ukweli nchi bado ni dhaifu na ndo maana mtu moja au kikundi cha watu fulani wanaweza kufanya chochote na hata hatua wasichukuliwe

Tazameni maneno ya ccm majukwaani inapeleka hii nchi wapi

Askari wa nchi hii imekuwa ya ccm na kuacha uweledi wake,na huku wamefumba macho na kusahau kabisa ni ya jamhuri ya muungano wa Tanzania

Usaliti ni mwingi sana hii ni hatari sana na adui anapoingia nchini ni uwazi kwamba tunaweza kuumizwa vibaya kutokana na usaliti ni mwingi sana,siri ya nchi hulindwa kwa katiba imara ya nchi

Kiongozi tunaemuona ni baba wa Tanzania nzima na kujisifu kuwa maendeleo hayana chama,huyo huyo anasema tusipochagua wa upande wake hawezi kufanya nao kazi ,huo ni ubaguzi ambao wasisi wa taifa hii waliukataa

Wengine wanajiona wao ndo wana hati miliki ya nchi hii na kuona wengine ni takataka ,sijui wanatupeleka wapi hawa watu,

Umoja na mshikamano hamna tena,watanzania tunabaki na kuendelea kuishi Kama maadui kwenye nchi yetu

Nimesoma na kuelewa sera ya vyama hivi viwili nimeamua kuchagua moja imara na bila kushawishiwa na mtu nimetumia akili yangu na nimejiridhisha na kuona nimechagua sehemu bora zaidi

Uonevu wa viongozi na matamko inayotugawa sisi wananchi naona kabisa tukiendelea kukaa kimya ni kwamba tunapoteza hii nchi

Tunakushukuru kwa uliyoyafanya Ila tupishe tu mkuu tumekuchoka pamoja na hayo uliyofanya wewe nenda tu tuachie nchi yetu pendwa

Nchi hii ni ya wananchi si ya kiongozi fulani ,katiba ya nchi imara hulinda raia wake na kumfanya kiongozi kuheshimu raia wake.

Asante Mungu wewe ni mkuu na utaendelea kuwa mkuu siku zote,hakika neno lako ni lazima litimie,
 
Mkuu kelele za chura hazitazuia kitu

Mwaka huu tunawafundisha adabu kuwa usaliti kwa Nchi ni laana

Chadema watajuta kumsimamisha msaliti wa Nchi
Ilinifanikiwe kumpigia kura lisunge basi inabidi niwe kicha kwanza....upupu tu umejaa humu....Magu kafanya zaidi ya hitaji ...na hakuna wa kulipinga hili
 
Sisi mabeberu tunamtaka rais atakayekuwa
1.Mteja wa cash kwa campuny zetu za Boeing na bombardiers

2.Sisi wachina tunataka atakae wanyima wananchi wake mishahara ili sisi tupate tenda za kujenga vivuko vya barabara kwa jina la flyover

3.Sisi acacia tunataka MTU ambae akisema anatudai 400trilion tukimtishia anashusha hadi 300Mln
Muoga atakae tupa mikataba tuitakayo sisi.

4.Sisi mabeberu wa turkey tunataka kuhakikishiwa Tenda ya SGR.

5.Sisi mabeberu wa Egypt tunataka MTU atakayeendelea kukumbatia mkataba tuliomuingiza chaka juu ya stiglars Gorge.

6.Sisi mabeberu tunataka MTU atakae wanyang'anya wananchi wake korosho halafu aje atuuzie sisi kwa bei nafuu kabisa.

Mimi najua anaetumika kwa manufaa ya mabeberu ni jiwe
 
Wenye akili timamu tunamuhitaji Lissu mazuzu mnamhitaji dikteta wenu
Kama kuna vichaaa ni nyie ...kama ungekuwa hata na akili ya kuvukia barabara basi ungekuwa unajua swala la udictator mbowere ndio maisha yake...vizuu km nyie mtaongozwa maisha sababu hata akili hakuna[emoji706]
 
Sisiwananchi wa Tanzania tutampa kurazetu JPM anaweza,amefanya na ametekeleza.
#JPM mitano tena.
 
Kama kuna vichaaa ni nyie ...kama ungekuwa hata na akili ya kuvukia barabara basi ungekuwa unajua swala la udictator mbowere ndio maisha yake...vizuu km nyie mtaongozwa maisha sababu hata akili hakuna[emoji706]
Ndiyo maana hatuishi kwenye nyumba za tembe kama ndugu zako, mpuuzi wewe mimi nichague jitu katili hivyo nimelaaniwa na nani? nikaribishe mkosi nyumbani kwangu, fanya research mpuuzi wewe uone sehemu zilizoendelea siku zote ni Chadema kwenye tembe na Ufukara ni CCM.
 
Sisi mabeberu tunamtaka rais atakayekuwa
1.Mteja wa cash kwa campuny zetu za Boeing na bombardiers
2.Sisi wachina tunataka atakae wanyima wananchi wake mishahara ili sisi tupate tenda za kujenga vivuko vya barabara kwa jina la flyover
3.Sisi acacia tunataka MTU ambae akisema anatudai 400trilion tukimtishia anashusha hadi 300Mln
Muoga atakae tupa mikataba tuitakayo sisi
4.Sisi mabeberu wa turkey tunataka kuhakikishiwa Tenda ya SGR
5.Sisi mabeberu wa Egypt tunataka MTU atakayeendelea kukumbatia mkataba tuliomuingiza chaka juu ya stiglars Gorge
6.Sisi mabeberu tunataka MTU atakae wanyang'anya wananchi wake korosho halafu aje atuuzie sisi kwa bei nafuu kabisa


Mimi najua anaetumika kwa manufaa ya mabeberu ni jiwe
Umemaliza mkuu! Heshima kwako.
 
Back
Top Bottom