Shishye
JF-Expert Member
- Feb 26, 2009
- 269
- 1
Kura yangu ni siri isipokuwa kwa mgombea mmoja tu..... hili liko wazi wala sio siri tena.
1. Silali usingizi wa kutosha maana lazima nidamke usiku usiku kutokana na foleni.
2. Nikiugua sina matumaini ya kupona maana huduma za afya ni duni kuliko mfano
3. Elimu ya watoto wangu ni shida shule za kata!
4. Maji ni ya taabu, nanunua kwa madumu bila hata uhakika wa usafi wake
5. Ufisadi ndio nyumbani kwake, mwenye nafasi bila kufanya hivyo unaonekana zezeta
6. Uwajibikaji sifuri... kazi mtu hufanya kwa kuangalia maslahi (kidogodogo)
7. Kodi hutozwa kubwa, matumizi yake marufuku kuuliza. safari kwa sana, semina, magari ya kifahari kwa waheshimiwa, nk.
1. Silali usingizi wa kutosha maana lazima nidamke usiku usiku kutokana na foleni.
2. Nikiugua sina matumaini ya kupona maana huduma za afya ni duni kuliko mfano
3. Elimu ya watoto wangu ni shida shule za kata!
4. Maji ni ya taabu, nanunua kwa madumu bila hata uhakika wa usafi wake
5. Ufisadi ndio nyumbani kwake, mwenye nafasi bila kufanya hivyo unaonekana zezeta
6. Uwajibikaji sifuri... kazi mtu hufanya kwa kuangalia maslahi (kidogodogo)
7. Kodi hutozwa kubwa, matumizi yake marufuku kuuliza. safari kwa sana, semina, magari ya kifahari kwa waheshimiwa, nk.