Kura za maoni CCM,mgombea aambulia kura moja,ana mke na watoto waliopiga kura kijijini kwake

Kura za maoni CCM,mgombea aambulia kura moja,ana mke na watoto waliopiga kura kijijini kwake

familia inataka baba awe karibu nao na aachane na ubize wa uongozi
 
Kuna jamaa yangu amegombea chaguzi ya ndani ccm,kapata kura 15,mwenyekiti anayemaliza muda wake ambaye akubaliki kapiga 200 kila mtu anashangaa,ccm kama kawaida baada ya undundu wanaofanyiana wanakaa chini kuyamaliza bila hivyo mitaa mingi itaenda upinzani
 
Kuna jamaa yangu amegombea chaguzi ya ndani ccm,kapata kura 15,mwenyekiti anayemaliza muda wake ambaye akubaliki kapiga 200 kila mtu anashangaa,ccm kama kawaida baada ya undundu wanaofanyia wanakaa chini kuyamaliza bila hivyo mitaa mingi itaenda upinzani
Kazi kweli kweli
 
Back
Top Bottom