Nimekuja Mbio nikajua ni Pascal MayallaHuko Babati kuna mgombea wa nafasi ya mwenyekiti wa kijiji,ameambulia kura moja kijijini kwake.
Cha ajabu ana mke na watoto kadhaa hapo kijijini
Kaibiwa kura?
Familia imemtosa?
Mimi na wewe hatujui
Wametoa ya moyoniWanafamilia hawataki unafiki
Kazi kweli kweliKuna jamaa yangu amegombea chaguzi ya ndani ccm,kapata kura 15,mwenyekiti anayemaliza muda wake ambaye akubaliki kapiga 200 kila mtu anashangaa,ccm kama kawaida baada ya undundu wanaofanyia wanakaa chini kuyamaliza bila hivyo mitaa mingi itaenda upinzani