Tumwesige senior
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 3,506
- 6,305
Inawezekana bimkubwa nae hua analeta chochote kitu mezani hvy jamaa lazima awe mpole mana hana kazi tenaKama hawataki unafiki wahame kwake
Dawa ndogo tu unapotea kijijini kama wiki bila kuacha hela ya mbogaSipati picha siku alivyotoka kwenye uchaguzi alivyokuwa amevimba kwa hasira baada ya kufika home,hahahaaa kama namuona vile
Unadhani ni neno gani la kwanza alilowatamkia familia yake
Huko Babati kuna mgombea wa nafasi ya mwenyekiti wa kijiji,ameambulia kura moja kijijini kwake.
Cha ajabu ana mke na watoto kadhaa hapo kijijini
Kaibiwa kura?
Familia imemtosa?
Mimi na wewe hatujui
Inaonesha democrasia ime imarika hapo. Familia Ina uhuru wa kuchagua wanaemuona anafaa uongoziHuko Babati kuna mgombea wa nafasi ya mwenyekiti wa kijiji,ameambulia kura moja kijijini kwake.
Cha ajabu ana mke na watoto kadhaa hapo kijijini
Kaibiwa kura?
Familia imemtosa?
Mimi na wewe hatujui
Wanaanza kukutafuta kwa torchDawa ndogo tu unapotea kijijini kama wiki bila kuacha hela ya mboga
Ubaya ubaya au sioWakale walipopeleka mboga
Unawatoa mwendo wa mateka mikono juuMi ningewatimua usiku usiku
Tunawwmbia Ccm bila Polisi na wale jamaa wengine ambao sitaki kuwataja hawawezi pata hata 20%.Huko Babati kuna mgombea wa nafasi ya mwenyekiti wa kijiji,ameambulia kura moja kijijini kwake.
Cha ajabu ana mke na watoto kadhaa hapo kijijini
Kaibiwa kura?
Familia imemtosa?
Mimi na wewe hatujui
Kwa kura za kupiga kwa uhuru na kuhesabu kwa uwazi hii ndio hali halisi ya CcmWanafamilia hawataki unafiki
Mitano tenaKikubwa asisahau kumshukuru mama,
kisha ajipange na uchaguzi ujao.
Huko Babati kuna mgombea wa nafasi ya mwenyekiti wa kijiji,ameambulia kura moja kijijini kwake.
Cha ajabu ana mke na watoto kadhaa hapo kijijini
A) Kaibiwa kura?
B) Familia imemtosa? [ C ] ✔️
C) Mimi na wewe hatujui