Tetesi: KURA ZA MAONI: Kiongozi gani katika serikali ya awamu ya tano anayeongoza kwa "kuvurunda"...

Tetesi: KURA ZA MAONI: Kiongozi gani katika serikali ya awamu ya tano anayeongoza kwa "kuvurunda"...

kasenene

JF-Expert Member
Joined
Jun 6, 2008
Posts
1,632
Reaction score
2,413
Tutaje majina tu bila kuweka maneno mengine najua watasoma hata kama watachukia lakini ujumbe utakuwa umewafikia watawala......Anaweza akawa kiongozi yoyote wa serikali unayemfahamu....anaweza akawa Waziri au Mkuu wa mkoa au yeyote mwenye madaraka..

Hii ni njia mpya ya kuonyesha nini wananchi wanaona baada ya ile njia ya kwenye sanduka la kura kuonekana kuingiliwa na watu " wasiojulikana "
 
Bashiteeeeeeee. nitajie hata jambo moja tu ambalo amefanikiwa tangu awe mkuu wa mkoa zaidi ya kupambana na clouds na bifu za kipuuzi. ati mkuu wa mkoa anashauriwa na le bichwa dogo le mutuuz?
 
we jamaa huku ni kubana uhuru wa mawazo unataka 1 wakati karibu wote wamevurunda

jiwe, mwakyembe, kigwa, kairuki, mwijage (alisha fyekwa), jenista. hao kwangu wamegongana kwenye namba moja
 
Tutaje majina tu bila kuweka maneno mengine najua watasoma hata kama watachukia lakini ujumbe utakuwa umewafikia watawala......Anaweza akawa kiongozi yoyote wa serikali unayemfahamu....anaweza akawa Waziri au Mkuu wa mkoa au yeyote mwenye madaraka..

Hii ni njia mpya ya kuonyesha nini wananchi wanaona baada ya ile njia ya kwenye sanduka la kura kuonekana kuingiliwa na watu " wasiojulikana "
Makonda Lizaboni
 
Baba mwenye wetu !yaani ni shida hadi mtu unatamani uhamishe nyumba yako uilete kule uliko uachane na kupanga.
Ni mzee wa ovyo kabisa kazi kukopa halafu anakwambia tunakatana kwa kodi ukija kustuka umelipa kodi ya miaka miwili.
Huyo ndio ananikera mm katika awamu hii.
 
juliana shonza sijui mpaka sasa ni waziri au ameshastaafu, tangu amepigwa biti kinywa mpaka leo.
 
Tutaje majina tu bila kuweka maneno mengine najua watasoma hata kama watachukia lakini ujumbe utakuwa umewafikia watawala......Anaweza akawa kiongozi yoyote wa serikali unayemfahamu....anaweza akawa Waziri au Mkuu wa mkoa au yeyote mwenye madaraka..

Hii ni njia mpya ya kuonyesha nini wananchi wanaona baada ya ile njia ya kwenye sanduka la kura kuonekana kuingiliwa na watu " wasiojulikana "
Sirikali Nzima 0!
 
Tutaje majina tu bila kuweka maneno mengine najua watasoma hata kama watachukia lakini ujumbe utakuwa umewafikia watawala......Anaweza akawa kiongozi yoyote wa serikali unayemfahamu....anaweza akawa Waziri au Mkuu wa mkoa au yeyote mwenye madaraka..

Hii ni njia mpya ya kuonyesha nini wananchi wanaona baada ya ile njia ya kwenye sanduka la kura kuonekana kuingiliwa na watu " wasiojulikana "
Nay wa mitego said that Lawama zote Kwa John.
 
Back
Top Bottom