Mwikimbi,voiced of amerca haisililizwi hata na 1% of watanzania
Mwikimbi,
Katika figures za 2007 Voice of America ilikuwa inasikilizwa na 28% ya wakazi wa Dar-es-Salaam na 22% ya Watanzania wote. Lakini ninachotaka kusema ni kwamba hawa VOA wamekuwa waoga katika kura zao za maoni. Kwa nini hawakuuliza the obvious? Kati ya wagombea urais mwaka huu ni nani unayeona anafaa kuwa rais? Obviously Slaa angeongoza.
Lete evidence. Nadhani inasikilizwa na ziadi ya Watanzania elfu 2 waliopiga kura za Redirty na Sy-No Vote maana RFA FM na Medium wanarusha matangazo ya VOA. Mimi nimeanza kuisikiliza VOA kabla ya hizi FM hazijaanza kurusha matangazo yao; na kwa taarifa yako sehemu ambazo zilikuwa hazifikiwi na RTD enzi hizo walikuwa wanasikiza zaidi Ujerumani, VOA na BBC.
Nini Maoni yako kuhusu jinsi kampeni zinavyoendelea
Kuna malumbano mengi
11%
Hakuna ujumbe au mpango unaoniridhisha.
3%
Chama tawala kina ujumbe mzuri.
7%
Upinzani una ujumbe mzuri.
76%
Nini Maoni yako kuhusu jinsi kampeni zinavyoendelea | Polls | Swahili
Lete evidence. Nadhani inasikilizwa na ziadi ya Watanzania elfu 2 waliopiga kura za Redirty na Sy-No Vote maana RFA FM na Medium wanarusha matangazo ya VOA. Mimi nimeanza kuisikiliza VOA kabla ya hizi FM hazijaanza kurusha matangazo yao; na kwa taarifa yako sehemu ambazo zilikuwa hazifikiwi na RTD enzi hizo walikuwa wanasikiza zaidi Ujerumani, VOA na BBC.
nI KWELI INASIKILIZWA NA WAO WANAOTUPA MISAADAvoiced of amerca haisililizwi hata na 1% of watanzania
hiyo ndo tunaitakayangu macho pale upinzani watakapoipeleka mchakamchaka serikali bungeni,,
oct 31