Hii nimeipenda. Kiravu kama vile ana akili. Bravooo Kiravuhapana wanachojaribu kufanya ni kuwa matokeo yatakapotoka mikoani yakitangazwa yanatangaza mshindi tu wa kura kwenye jimbo hilo.. lakini wakati huo huo lazima yatumwe kwa NEC ambapo yatajumlishwa na jumla rasmi itakapotolewa. Sasa endapo wakijikuta kuwa hali inakuwa ngumu kama jimbo wametangaza kuwa Kikwete kapata 1000 halafu tume ikajumlisha 10000 na kutokana na mahesabu hayo ya tume kikwete akashinda na wakamtangaza basi ndio itakuwa hivyo hakuna mahakama itakayoingilia kati..
hapana wanachojaribu kufanya ni kuwa matokeo yatakapotoka mikoani yakitangazwa yanatangaza mshindi tu wa kura kwenye jimbo hilo.. lakini wakati huo huo lazima yatumwe kwa NEC ambapo yatajumlishwa na jumla rasmi itakapotolewa. Sasa endapo wakijikuta kuwa hali inakuwa ngumu kama jimbo wametangaza kuwa Kikwete kapata 1000 halafu tume ikajumlisha 10000 na kutokana na mahesabu hayo ya tume kikwete akashinda na wakamtangaza basi ndio itakuwa hivyo hakuna mahakama itakayoingilia kati..