Baija Bolobi
JF-Expert Member
- Feb 25, 2009
- 1,093
- 1,733
Kuna uvumi unaenea kasi kuwa:
-Zile kura za Tunduma, zilirudishwa hadi Zambia
-Zikapakiwa kwenye ndege mbili
-Moja ikatua Ngerengere jeshini (airbase)
-Nyingine ikatua serengeti kwenye hotel moja ya kitalii
-Janjaweed wanazitawanya nchi nzima kwa sasa
Utafiti wetu kwenye Mamlaka ya Anga na Viwanja vya ndege, umepata habari kuwa ni kweli kuna ndege ilitua serengeti ikitokea Zambia, lakini chanzo chetu kikagoma kuthibitisha ndege iliyotua Ngerengere kwa sababu za usalama!
Aliye na zaidi atujuze, au tuachane na uvumi huu, tuelekeze mawazo yetu kwingineko zitakakotokea kura za kamati za ufundi.
-Zile kura za Tunduma, zilirudishwa hadi Zambia
-Zikapakiwa kwenye ndege mbili
-Moja ikatua Ngerengere jeshini (airbase)
-Nyingine ikatua serengeti kwenye hotel moja ya kitalii
-Janjaweed wanazitawanya nchi nzima kwa sasa
Utafiti wetu kwenye Mamlaka ya Anga na Viwanja vya ndege, umepata habari kuwa ni kweli kuna ndege ilitua serengeti ikitokea Zambia, lakini chanzo chetu kikagoma kuthibitisha ndege iliyotua Ngerengere kwa sababu za usalama!
Aliye na zaidi atujuze, au tuachane na uvumi huu, tuelekeze mawazo yetu kwingineko zitakakotokea kura za kamati za ufundi.