Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Uongozi wa Vyuo vya Elimu ya Juu, TAHLISO, umelikana tamko la Mwenyekiti wake aliloipa serikali saa 72 kuamua hatma ya wanafunzi hao, kwa kusema alijisemea kwa nafsi yake, na alilitoa kwa kutumwa na kikundi fulani bila kukitaja.
Katibu Mkuu wa TAHLISO, amezungumza leo na waandishi wa habari katika ukumbi wa Karimjee na kusema takwimu zilizotolewa sio takwimu halisi, kwani wanafunzi wa mwaka wa kwanza, watapigia kura walikojiandikishia, wakati wale wa mwaka wa 3 na wa nne, ndio wameshamaliza vyuo hivyo wasingepigia vyuoni.
Hata wale wa mwaka wa pili, wako kwenye mafunzo kwa vitendo hivyo bado wasingepia vyuoni.
Katibu huyo ametoa mwito kwa wanafunzi wote wa vyuo vya elimu ya juu, kuwa huru kupigia kura walikojiandikishia.
Wametoa shutuma nzito kwa Mwenyekiti wao kutumiwa kwa kutoa tamko bila kuwashirikisha, hivyo amevunja katiba yao na kujifukuzisha kazi!.
Nimehudhuria Press Conference hii na nilipowauliza kuhusu tuhuma za kutumiwa, viongozi hao waliishia kujikanyakanyaga, ila pia hata hiyo press release yao ya kurasa 4! sii bure!.
Katibu Mkuu wa TAHLISO, amezungumza leo na waandishi wa habari katika ukumbi wa Karimjee na kusema takwimu zilizotolewa sio takwimu halisi, kwani wanafunzi wa mwaka wa kwanza, watapigia kura walikojiandikishia, wakati wale wa mwaka wa 3 na wa nne, ndio wameshamaliza vyuo hivyo wasingepigia vyuoni.
Hata wale wa mwaka wa pili, wako kwenye mafunzo kwa vitendo hivyo bado wasingepia vyuoni.
Katibu huyo ametoa mwito kwa wanafunzi wote wa vyuo vya elimu ya juu, kuwa huru kupigia kura walikojiandikishia.
Wametoa shutuma nzito kwa Mwenyekiti wao kutumiwa kwa kutoa tamko bila kuwashirikisha, hivyo amevunja katiba yao na kujifukuzisha kazi!.
Nimehudhuria Press Conference hii na nilipowauliza kuhusu tuhuma za kutumiwa, viongozi hao waliishia kujikanyakanyaga, ila pia hata hiyo press release yao ya kurasa 4! sii bure!.