Wakuu,
Napendekeza tutoe sauti ya umma hapa JF kuhusu muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Tupige kura kwa kuandika hapa.
Kwa wanaoutaka, andika: UENDELEE
Kwa wasioutaka, andika: USIENDELEE
Si mbaya ukitupia maelezo ya chaguo lako.
Nawasilisha.
Uwe wa serikali Tatu, kama sio Serikali 03 USIENDELEE.
Haya ni maoni sahihi na hakuna uhaini, hatuwezi kuendeleza ukoloni, udikteta na uzandiki. Si umeona watu makini wanavuliwa uanachama kwenye vyama vya kihafidhina.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.