ChizzoDrama
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 1,317
- 1,229
Tumaini langu mko sawa !!
Ni wiki mbili sasa au pengine na zaidi , tumekuwa tuna kuna vichwa kuwaza ni kwa jinsi gani serikali itaweza kutatua tatizo hilo la watu kutofika katika vituo vya kupigia kura
Nawaza TU kwa sauti kwamba katika dunia hii tuliyopo ambayo imekuwa ikiendeshwa kwa teknolojia almost katika kila kitu
Imekuwaje Imeshindikana kutengenezwa mfumo maalumu ambao utaratibiwa vilivyo ,ambao kimsingi utawezesha mtu mwenye vifaa Kama simu au kompyuta kupiga kura sehemu yoyote alipo
Ikizingatiwa kuwa kwa sasa watanzania wanao miliki smartphone wameongezeka Sana kiidadi
NIELEWEKE ;Sisemi kuwa huu mfumo uliopo tuuache Hapana ,kwa sababu najua IPO idadi kubwa pia ya watanzania waishio vijijini ambapo mfumo huo Wa kupiga kura kwa kutumia smartphone au computer ukawa mgumu kwao
Mifumo yote iwepo kwamba anaye weza kwenda kupanga foleni basi afanye hivyo
Na kwa yule ambaye anatingwa na harakati zingine basi apige akiwa popote pale
NI MAWAZO TU NA NIPO TAYARI KUSAHIHISHWA NA KUELEKEZWA karibuni !!!
Ni wiki mbili sasa au pengine na zaidi , tumekuwa tuna kuna vichwa kuwaza ni kwa jinsi gani serikali itaweza kutatua tatizo hilo la watu kutofika katika vituo vya kupigia kura
Nawaza TU kwa sauti kwamba katika dunia hii tuliyopo ambayo imekuwa ikiendeshwa kwa teknolojia almost katika kila kitu
Imekuwaje Imeshindikana kutengenezwa mfumo maalumu ambao utaratibiwa vilivyo ,ambao kimsingi utawezesha mtu mwenye vifaa Kama simu au kompyuta kupiga kura sehemu yoyote alipo
Ikizingatiwa kuwa kwa sasa watanzania wanao miliki smartphone wameongezeka Sana kiidadi
NIELEWEKE ;Sisemi kuwa huu mfumo uliopo tuuache Hapana ,kwa sababu najua IPO idadi kubwa pia ya watanzania waishio vijijini ambapo mfumo huo Wa kupiga kura kwa kutumia smartphone au computer ukawa mgumu kwao
Mifumo yote iwepo kwamba anaye weza kwenda kupanga foleni basi afanye hivyo
Na kwa yule ambaye anatingwa na harakati zingine basi apige akiwa popote pale
NI MAWAZO TU NA NIPO TAYARI KUSAHIHISHWA NA KUELEKEZWA karibuni !!!