Gorgeousmimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 9,296
- 7,683
Sawa shukraan!Yeah dear nadhani
Mi napenda kula Michemsho na Yenyewe yamo
Uanze na mapishi ya mabachela. Nimesha kufollow
Jaman mi ni mdau wako sema huwa sicomment ss ntakupataje instagram jamani napenda nijue kupika like u dada angu
Habari zenu wapishi wote natumai mko salama
Ningependa tujumuike pamoja katika kujifunza mapishi mbalimbali kupitia ukurasa wangu wa Instagram ambao nimefungua siku chache zilozipota..
Ukurasa ni: farkhina_zahraan_kitchen
Shukraa sana
Nawapenda wote 😘😘😘😘😘
Cc Mentor Watu8 Heaven on Earth gorgeousmimi Mrs Kharusy Angel Nylon atoto Ennie measkron Chocs Swts Dinazarde
Huna fb?
Mwenyewe simpati.Mamy mbona mi sikupati insta au umechange jina?
Mie siiooni hiyo accountSina fb
Mie siiooni hiyo account
Tufungulie na group wasap farkhin wengine hatupo inst please fanyia kaz wazo langu asanteThank ypu&[HASHTAG]#128522[/HASHTAG];&[HASHTAG]#128522[/HASHTAG];&[HASHTAG]#128522[/HASHTAG];
Tufungulie na group wasap farkhin wengine hatupo inst please fanyia kaz wazo langu asante
Daaah nimehuzunik kukos hiyo dars mubasharDear haiwezekani kwa sasa nna majukumu ya kifamilia siunajua tena
Jaman ungeanzisha tuu nawengine tufaidi huo ujuzi..Dear haiwezekani kwa sasa nna majukumu ya kifamilia siunajua tena