Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,770
- 6,202
Wakuu, habari za mda huu.
Nimekuwa nikipokea messages kibao kupitia simu yangu kuwa nirasimishe namba zangu zote za simu nilizosajiri kupitia kitambulisho changu.
But kwa mujibu wa maelezo yao wanasema nipige *106# then nifuate maelezo Ila nimejaribu kufanya hvyo bado naona messages hazikauki na wanadai zimebaki 4 days only kukamilisha urasimishaji.
Hvyo, kwa ambo wamekutana na hii kadhia mmeitatuaje jamani maana Nina wasiwasi na namba zangu kufungiwa japo nimesajiri kwa kitambulisho changu mwenywe.
Refers, Nina namba mbilimbili kwa hii mitandao
1. tigo-2
2. Aitel-2
Mitandao mingine iliyobaki nimesajiri line mojamoja tu.
Nimekuwa nikipokea messages kibao kupitia simu yangu kuwa nirasimishe namba zangu zote za simu nilizosajiri kupitia kitambulisho changu.
But kwa mujibu wa maelezo yao wanasema nipige *106# then nifuate maelezo Ila nimejaribu kufanya hvyo bado naona messages hazikauki na wanadai zimebaki 4 days only kukamilisha urasimishaji.
Hvyo, kwa ambo wamekutana na hii kadhia mmeitatuaje jamani maana Nina wasiwasi na namba zangu kufungiwa japo nimesajiri kwa kitambulisho changu mwenywe.
Refers, Nina namba mbilimbili kwa hii mitandao
1. tigo-2
2. Aitel-2
Mitandao mingine iliyobaki nimesajiri line mojamoja tu.