Kurithi viasili kupitia maziwa ya wanyama

Kurithi viasili kupitia maziwa ya wanyama

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Najaribu kufanya kautafiti; Kuhusu maziwa ya mama kwa mtoto.

Inaonekana, katika unyonyeshaji, huwa kuna vitu hutoka kwa mama kwa njia ya maziwa, ambavyo mtoto anarithi kiubinadamu.

Sasa najiuliza; tunapowapa watoto maziwa ya ng'ombe, mbuzi n.k ina maana watoto wetu, wanaenda kurithi viasili vya hao wanyama, iwe ng'ombe au mbuzi n.k

Wakuu, mnasemaje kuhusu hili jambo?​

3 Interesting Facts About Genetic Material In Breastmilk,

 
tuanze na huo mstari wako wa pili, kwenye hiyo tafiti yako ( mtoto ana rithi baadhi ya tu vitu vitu kutoka kwa mama kwa njia ya kunyonya maziwa?????) je kuna ukweli gani kwenye hili, isije ikawa kuna exaggerations au ulilishwa kassa,
 
D63cWua8-gK1Mx5QSefqszMdroVRmMM0vAHRFjfRvm4.jpg
 
tuanze na huo mstari wako wa pili, kwenye hiyo tafiti yako ( mtoto ana rithi baadhi ya tu vitu vitu kutoka kwa mama kwa njia ya kunyonya maziwa?????) je kuna ukweli gani kwenye hili, isije ikawa kuna exaggerations au ulilishwa kassa,
Kuna link nimeiweka hapo mkuu, ipitie halafu tujadili
 
Madaktari wapo kwenye vikao vya mfululizo baada ya kutokea ya kutokea, ngoja watakuja
Ni vizuri pia wakapata haki yao, kwa sababu wanafanya kazi katika mazingira yenye changamoto
 
Kuna huu msemo "you are what you eat" kwa hiyo kuna uwezekano wa vyakula tunavyotumia kuweka chapa zake kwenye vinasaba vyetu, tuwe makini na vyakula tunavyotumia hasa vile tunavyowapa watoto.
 
Kuna huu msemo "you are what you eat" kwa hiyo kuna uwezekano wa vyakula tunavyotumia kuweka chapa zake kwenye vinasaba vyetu, tuwe makini na vyakula tunavyotumia hasa vile tunavyowapa watoto.
Kama itakuwa ni sahihi, kuna uwezekano mkubwa kwa watoto wetu wanaotumia maziwa ya mifugo, akili zao zikawa kama mifugo
 
Kama itakuwa ni sahihi, kuna uwezekano mkubwa kwa watoto wetu wanaotumia maziwa ya mifugo, akili zao zikawa kama mifugo
Bora watumie maziwa ya mama zao au artificial milk proteins zilizotokana na maziwa ya binadamu kwa mwaka wa kwanza.
 
Back
Top Bottom