Una kumbuka kipindi Yanga wanapitia economic hardship....manara akiwa semaji la kolo ...
Aliulizwa ...kama ataweza kufunga Yanga ....alijibu "Yanga Ina wachezaji wa kuokoteza
Kesho kwenye mechi mauya akafunga goli ....na alitumia style ya kushangilia kama ansokota vitu
So sometime wasemaji wanachangia ..... never under estimate the power of ur opponent