Kurudi Clouds Fm; Masudi Kipanya ajigamba, ni pesa tu!

Kabisa ndugu nobody can wear someones shoe no matter what wale watu walikua wameshajiestablish vema na they master it.Fredwa bado no matter how long he will take amebaki babra tu i think mana kwa kipanya si vile though anajulikana.
 
Well said waerevu wataelewa those days kweli sikuwaga namsikiliza kp so hana influence yoyote kwangu the only thing ni kusiwtch tu.
 
Hivi tuwe wakweli ....unamlinganishaje Kipanya na Hando? Kipanya ndani ya muda mfupi ameshakuwa sawa na wenzake na sasa PB inasonga kamakawa labda kwenye usomaji magazeti ambao hata kabla ya PJ tulikuwa interested na jinsi Kipanya alivyokuwa anahoji vitu na si msomaji wa magazeti ....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…