Kurudi kwa Lazaro Nyalandu "nyumbani" kutachagiza upatikanaji wa katiba mpya?

Kurudi kwa Lazaro Nyalandu "nyumbani" kutachagiza upatikanaji wa katiba mpya?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Wakati Lazaro Nyalandu anahama chama chake cha CCM kwenda CHADEMA alijdhihirisha kama mmoja wa watu wenye uelewa mkubwa na mpana wa namna mihimili ya serikali yetu inavyoingiliana na kutatiza nchi kusonga mbele kwa kasi kimaendeleo, uhuru na demokrasia kama inavyostahili.

Kurudi kwake CCM inaweza kuwa ni mchango wowote katika upatikanaji wa katiba mpya ikizingatiwa hilo lilikuwa ni mojawapo ya madai yake makuu kujitoa chamani?

Anaweza kuhamasisha na utumika katika mchakato huo.Tumpe muda.
 
Huwajui CCM na tabia zao, hizo akili unazomsifia anazo zote kaziacha Chadema, kule limeenda debe tupu.
 
Back
Top Bottom