Kurudia mtihani

Nisaidieni waungwana, nina D moja tuu ya form iv, na nimemaliza mwaka elfu mbili na nne, nataka nirisit masomo matano, jaman ntaweza kuyahimili kweli wkt nafanya na kazi??

Kurisiti noma wanakupa credit moja moja kila mwaka na mpaka zikatimie miaka mi3. Chakukushauri soma certificate the diploma the digree kwani utafika tu huko walikofika waliopitia fm6
 

thanx m2 wangu, ubarikiwe xana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…