Kamkuki JF-Expert Member Joined Feb 1, 2011 Posts 1,732 Reaction score 1,093 Aug 6, 2020 #21 google helper said: kwa nchi hii yote yanwezekana kabisa hata mahakama inaweza kumfanyia kampeni kabisaa. Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app Click to expand... [emoji23][emoji23][emoji23] mkuu mebidi nicheke kwa sauti..
google helper said: kwa nchi hii yote yanwezekana kabisa hata mahakama inaweza kumfanyia kampeni kabisaa. Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app Click to expand... [emoji23][emoji23][emoji23] mkuu mebidi nicheke kwa sauti..
Jane Lowassa JF-Expert Member Joined May 10, 2016 Posts 4,955 Reaction score 9,041 Aug 6, 2020 #22 Kwani ikulu yupo nani? Mnajua maana ya chama kushika hatamu?
google helper JF-Expert Member Joined Jun 11, 2013 Posts 9,623 Reaction score 13,759 Aug 6, 2020 #23 Kamkuki said: [emoji23][emoji23][emoji23] mkuu mebidi nicheke kwa sauti.. Click to expand... cheka japo sio mazuri basi tu ni hii pumzi ya Mungu ila mambo sio kabisa. Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
Kamkuki said: [emoji23][emoji23][emoji23] mkuu mebidi nicheke kwa sauti.. Click to expand... cheka japo sio mazuri basi tu ni hii pumzi ya Mungu ila mambo sio kabisa. Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
Erythrocyte JF-Expert Member Joined Nov 6, 2012 Posts 128,308 Reaction score 245,426 Aug 6, 2020 #24 Hawa wote watang'olewa baada ya anaowatuma kung'olewa
Pascal Mayalla Platinum Member Joined Sep 22, 2008 Posts 53,857 Reaction score 121,995 Aug 7, 2020 #25 MtamaMchungu said: Labda atusaidie mwanahabari nguli Pascal Mayalla inawezekana vipi tovuti rasmi ya ikulu kubeba habari za mgombea wa chama cha siasa? Click to expand... Pongezi Dkt. Magufuli kutenganisha shughuli za Chama na Serikali, Utabarikiwa na Tanzania itabarikiwa! P
MtamaMchungu said: Labda atusaidie mwanahabari nguli Pascal Mayalla inawezekana vipi tovuti rasmi ya ikulu kubeba habari za mgombea wa chama cha siasa? Click to expand... Pongezi Dkt. Magufuli kutenganisha shughuli za Chama na Serikali, Utabarikiwa na Tanzania itabarikiwa! P
A antimatter JF-Expert Member Joined Feb 26, 2017 Posts 47,274 Reaction score 126,778 Aug 7, 2020 #26 Ccm ishakuwa Kama gonjwa la kansa.. hata bunge la Dr ndugai lilikuwa hivo hivo