Mbalamwezi
JF-Expert Member
- Sep 30, 2007
- 800
- 172
Wakuu JF,
Hivi kuruhusu maandamano ya kupinga ujio wa Joji Kichaka bongo, na polisi kuwasindikiza waandamanaji hao, ni tukio lisilo la kawaida. Je, ni kweli inaashiria kupanuka kwa demokrasia?
This is tautology tayari ipo threas ya jambo hili.... peruzi kidogo mkuu
Mbona siioni mkuu Masatu, hiyo thread inayofanya comparison ya kuruhusu maandamano na ukuaji wa demokrasia, tafadhali niwekee hapa.
Mbalamwezi bwana .Ipo mkuu wangu soma ukiwa umetulia utaiona .Kama wameanza kuwasindikiza basi salama next time wapinzani pia wasindikizwe badala ya kupeleka FFU
Ok Mkuu Lunyungu, sasa natafuta namna ya kuiondoa, nafanyaje? Nielekeze tafadhali.
Kwa hakika huku ndio kukua kwa demokrasia, wanaita freedom of expression, kumruhusu mwingine aseme anachoamini kuwa ni sawa hata kama hukubaliani nacho, ilimradi kwa kufanya hivyo hajavunja sheria au katiba ya nchi. Ni mojawapo ya haki za binadamu: uhuru wa maoni.
Wakuu JF,
Hivi kuruhusu maandamano ya kupinga ujio wa Joji Kichaka bongo, na polisi kuwasindikiza waandamanaji hao, ni tukio lisilo la kawaida. Je, ni kweli inaashiria kupanuka kwa demokrasia?
Naam Kithuku, ndio demokrasia hiyo. Sasa naomba unisaidie na hili ndugu yangu:
Ni haki ya mtu yeyote Tanzania kuandamana kupinga ujio wa Kichaka.
Na, ni haki kwa mTanzania yeyote akiamua kuandamana kumuunga mkono Bw. Osama, kama hana kosa lolote alilokwishaitendea Tanzania.
Yote hiyo ni demokrasia, au sio?
Naona umenukuu maneno yangu bila kuyatilia maanani. Hebu soma tena niliyoandika halafu ukikuta pale nilipoandika "....ili mradi kwa kufanya hivyo hajavunja sheria au katiba ya nchi" urudie mara kumi sehemu hiyo labda itakusaidia!
kuwa open minded Kichuguu usigubikwe na udini hivi wewe unaijua biblia kama mtu huyu hapa.
http://www.independent.co.uk/news/u...aria-law-in-britain-is-inevitable-779798.html
Wakuu JF,
Hivi kuruhusu maandamano ya kupinga ujio wa Joji Kichaka bongo, na polisi kuwasindikiza waandamanaji hao, ni tukio lisilo la kawaida. Je, ni kweli inaashiria kupanuka kwa demokrasia?